sheiza
JF-Expert Member
- Sep 29, 2010
- 7,564
- 11,478
Namtambua kama mtangazaji wa channel ten na magic fm..kwa wapenzi wa morning magic watakuwa wanamfahamu vizuri.. anaonekana ni mtu mwenye akili mingi sana na ufahamu wa hali ya juu..ana uelewa na kumbukumbu ya matukio mengi sana tokea enzi za nyerere hadi sasa ingawa ukimtazama haonekani kulingana hata na samwel sitta kiumri.. nimekuwa nikimfatilia sana vipindi vyake..ni mmoja wa hazina chache ktk matukio ya nchi hii ya kihistoria,kiuchumi na kijamii..naomba anayemfahamu vizuri anisaidie details zake..
ANGALIZO:Kama humuelewi usitoe kejeli.
ANGALIZO:Kama humuelewi usitoe kejeli.