Whois: Beer van Straten

Invisible

Robot
Feb 11, 2006
9,075
7,878
Bwana huyu ni mhandisi mhitimu wa chuo kikuu cha Delft (Delft University of Technology) na mfanyakazi wa kampuni ya kijerumani iitwayo Orca Exploration ambayo ipo Tanzania.

Ametokea Oman ambapo alikuwa akifanya kazi na kampuni ya Shell na huenda akawa ndiye mkurugenzi wa Tanzania kuanzia June 23, 2010.

Wakati akiwa Oman amefanya kazi na kampuni ya Wintershall ambayo alikuwa kama Operations Director nchini Libya lakini mwaka 2002 alilazimika kurudi rasmi Shell huko Oman.

Orca wapo Tanzania kwa ajili ya miradi ya Songo Songo ambao ndio wanaotupatia umeme wa 300MW. Hawa ndio inchaji wa mradi huu wa Songo Songo

Nimeona tumjue walau kwa uchache...
 
hapa naona panafuka moshi!lazima kuna kitu.....
HATOKI MTU KWENYE SREDI HII
 
Twataka jua ili tuwekane sawa, hii ni nchi yetu n a tuna haki kudadisi na kujua yanayojiri humu jamani au sio?? Mkuu lete date hizo tu analyse.
 
tungeelezwa japo kwa kudokezwa sababu za kutaka kumjua mtu huyu. huo ungekuwa ni utangulizi wenye tija sana
 
This guy was nominated to stand as a nominee in the Board of Directors' election when they held their annual and special meeting of shareholders which was held on 23rd june 2010.

Beer van Straten is a senior international oil and gas industry executive with high level exploration, production and commercial experience in the North Sea, Middle East and Africa. "We are excited about the extensive drilling and field knowledge that Beer will bring to our Board," said David Lyons Orca's Chairman and CEO. "Orca is currently expanding its geographic areas of interest.

On June 1, 2010 Orca announced the Elsa farm-in located offshore Italy and we are currently evaluating additional oil exploration opportunities in Africa, Europe and the Middle East. Beer's first hand drilling and operations knowledge will be an excellent fit with our growth objectives."

Beer van Straten joined Shell in 1988 and advanced to become the Deputy Head of Development Drilling in Oman by 1998. In 1999 Beer moved to become Wintershall's Drilling and Production Manager for Libya managing two plants with a production capacity of 150,000 bopd and an associated gas plant. In 2002 he was recruited back to Shell and led an integrated project team that saw Shell return to Libya.

In 2006 he moved with Shell to Egypt and was responsible for operations that included two gas plants, a separation plant, a pipeline network to Alexandria and five drilling rigs.

In 2008 Beer joined Dana Gas as General Manger for Egypt where he managed an aggressive five-rig drilling program that doubled Dana Gas reserves in 18 months, raised production 50% through optimization and accelerated tie-ins and managed over 800 staff and 400 contractors.

A Dutch citizen, van Straten studied at Delft University of Technology where he graduated with an MSc. in Mechanical Engineering.

Source: www.sedar.com


My take.

Kwahio wawekezaji wamewaza kwamba mradi wa SongoSongo kwa kuwa ni mpya basi unahitaji mtu mahili anaejua kuchimba mafuta.
 
Back
Top Bottom