Che Guevara
JF-Expert Member
- May 22, 2009
- 1,236
- 346
Wasaidizi wa rais wanachaguliwa na nani?Ili nitumbukize jina langu hapo mapemaa
Wanateuliwa na Rais, hata kama mapendekezo yanaweza kutoka kwa wasaidizi au kwa wakati Serikali hii, washkaji zake.
Kwa hiyo, tatizo ni mwenyewe anayewateua.
Wewe Rais mzima uambiwe kwamba kuna mtu anataka kukukabidhi nwewe Rais magari ya ambulance mawili, nawe unasema 'sawa',
kwanini usiwambie wasaidizi kuwa wamuelekeze Wizara ya Afya akayakabidhi kwa Mkurugenzi wa Tiba?
Kama huyo muhindi ni supplier wa Land Rovers kwa Jeshi, basi vigogo wana faida naye. Mambo ya Percent yao. Ndio maana kumuona mkulu kwake ni jambo rahisi sana.