Kuntakinte
JF-Expert Member
- May 26, 2007
- 701
- 31
Hakika GT na MMK bila ya kuwakosa FMES na NN sababu.....................ni wanachama wazuri wa JF na ni mfano wa kuigwa hasa kwenye masuala yenye manufaa ya Kitaifa na masikilizano yenye misingi ya kuendeleza jamii. Mwisho kabisa nitafurahi sana kukutana na Mama, Mtaalamu na bila ya kumsahau Rev Kishoka na jmushi.