Kila kitu kiko wazi kwamba Kagame ndo muanzilishi wa mauaji ya kimbari but the world is silent but I dont know for how long
Vipi tukubaliane waAfrica!!! wakati sisi waAfrica unaotupa changamoto hii tukusaidie kumshitaki Kagame, wewe uusaidie ulimwengu kwa kuanzia tu changamoto yako kuwashitaki George Bush, Condoleeza Rice, Donald Rumsfeld, na Tony Blair na Ariel Sharon? wengine watafuata baadae. Vipi?