Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,779
Yawezekaana unajiuliza nini hiihii ni sehemu ya malavidavi iko kunduchi hakika ni kama kijiji lakini ukiingiakwa ndani ni mabenzi basikeli bajaji zinawaleta wake za watu kwa ajili ya hukumu kumradhi na waume za watu...je unaitaji sehemu ya kujificha come to ""Who Told You"""uwe na uhakika unachokifanya atuitaji kuleteana majambazi ama kufanyiwa fujo na waumeza watu kama unaiba uwe nauuhakika na unaemuibia