Who Recruited Kikwete and what did they see in him and when?

mbeleko zilizomfikisha JK hapo alipo ni pamoja....................na
a) Kubebwa na Kawawa ndani ya ccm na kupangiwa ukatibu wa Wilaya kusini na baadaye Zanzibar ili kumjenga...................Mzee Ruhksa yeye alitumia nafasi yake kumwendeleza ndani ya serikali katika khali ya kuwainua waislamu..................bila ya kutafakari kama hakuna waislamu wengine wenye uwezo ila huyu kifuu..............................
b) katiba ya ccm imewapa wa Zanzibara nafasi kubwa katika kutuchagulia viongozi kupitia CC, Halmashauri kuu na hata mkutano Mkuu wa ccm kupitia uwalikilishi haramu.................hakuna proportional representation pale na ndiyo maana mwaka 1995 Jk angelichukua nchi kama nyerere asingeliingilia kati kwa kutambua mapungufu ya katiba tajwa.......................that Jk wa unqualified then and he is still unqualified now to be the ceo of this nation..............................
c) mwaka 2005, JK alikuja na sera ni zamu ya waislamu na waislamu akawaahidi makubwa yakiwemo mahakama ya kadhi na kujiung na OIC mambo ambayo mwasisi wake Mzee Rukhsa yalimshinda...................sasa JK amejua hii nchi ni ya Kikristu baada ya kusalimu amri mbele ya Bunge na kuikana azma yake ka kulisilimisha hili taifa kinyemela kupitia maeneo tajwa.....................na hili alijua baada ya kujulishwa na usalama kuwa kura ya kumfukuza kazi ndani ya Bunge itapita...................kwa sabau wa wakristu are rally fed up with his incompetence ndani ya Bunge.....................
d) mwaka 2010 tulimfuta kazi lakini usalama na nec wakamrudisha kwa nguvu........................it is not our fault that voters voice is muzzled by the wicked members of this nation......................................

Duh! isee hata mimi nilikuwa sijuwi ndio kwanza nasikiaga kwako kuwa nchi hii ni ya kikrisro
 
Mwanakijiji,
Hata kabla ya hizi cables, things were very clear that someone was reporting somewhere. The inner circle ya hapa is not thinking right that's for sure, and it will take a generation (possibly more) kujinasua kwenye huu mnyororo.

nanukuu maneno niliyowahi ambiwa na baba wa Taifa (1995) kuwa kumaliza UBADHLIFU NCHINI, ITABIDI TUUIBE YAIISHE YA KUIBA. HAPO TUTAKAA NA KUTAFAKARI NJIA ZA MSINGI KWA WANETU WACHANJWE VIPI; WASOMESHWE VIPI NA WAJE KUCHUKUA UONGOZI WA NCHI KATIKA TARATIBU IPI HALI HATUNA UWEZO WA KUKIDHI MAHITAJI YA LAZIMA KWA MWANANCHI.......

Sio muda mrefu tunakaribia huko....

MUNGU IBARIKI TANZANIA NA SISI (WATU WAKE)
 
jibu:

(i) aliyemtafutia kzi mhe kikwete ni ndugu ali hassan mwinyi.

(ii) malengo yake ya muda wa kati na muda mrefu ilikua na bado ni a. Kumpatia mwanaye kazi ya kuongoza zenj na b. Kuleta mahakama ya kadhi.

(iii) aliweza kumtafuta tangu akiwa kulee lindi kwenye miaka ya 97 hivi. Kwenye kupigiana chapuo simba wa yuda aliwekwa sawa na mzee mwinyi kuunga mkono chaguo hilo. Kazi hiyo ilipata tu uepesi baada ya mwalimu kutangulia mbele ya haki; laa sivyo ... Mhhhh!!!!!!!!!!

(iv) mwezeshaji wa wazo hili ili iweze kufanyika kiukweli alikua ni rostam aziz na edward lowassa kwa kubuni uanamtandao na kuwekeza kifedha katika hizo mbio za urais nchini.

hebu nipe maksi zangu basi mm.

nakupa zote 100 mkuu.
 
Wamarekani walianza hii effort kwetu in fifties.... it will take us 100 years kureverse walichofanya<br />
<br />
FYI, hata rais ajaye atatoka kwenye &quot;pot&quot; yao tu... tutake tusitake<br />
<br />
MTM
<br />
<br />
umenitisha mkuu..
 
Hivi huwa mnafikiri? unanchekesha!

How true to form, kuchekacheka is definitely something to be wary of, it is catching. Kuchekacheka kunatupeleka kusiko, kuchekacheka kunatumiwa kama silaha ya maangamizi kwa ustawi wa taifa letu na kuchekacheka kwa akina FaizaFoxy ni lazima ili hila, unafiki, uzembe na ujinga ziweze kupata uhalali. Kuna mipango ilisukwa, inasukwa na itaendelea kusukwa ili tuendelee kuogelea kwenye umasikini, njaa na ujinga kwa kuzidi kuwapumbaza wananchi waendelee kuwachagua viongozi rahisi, wasio na ujasiri, uwezo wala hekima kama Kikwete.

Mwaka 2005, Kikwete alichaguliwa kwa bahati mbaya, mwaka 2010 akachaguliwa kwa makusudi na mwaka 2015 atachaguliwa kama Kikwete kwa hila. Uchaguzi ujao mdogo wa Igunga utatumiwa kupima nguvu ya Umma ambao umeanza kupata mwamko na hivyo kuutia hofu huu mfumo maiti wa uongozi/utawala chini ya Kikwete. Mkapa kwa mfano ambaye kwa miaka zaidi ya miwili amekuwa akitafuta pa kuficha uso wake ghafla kawa turufu kwa CCM na hivyo hivyo Rostamu ambaye hata miezi miwili haijapita toka atangaze kung'atuka siasa.

Hizo zote ni dalili kuwa kuna mamlaka zinazotoa amri zimeshtuka na sasa zinajipanga upya kufifisha sauti ya Umma kwa njia yoyote ile na tutegemee makubwa hapo mbeleni. Katika nchi makini za wenzetu, hakuna namna mtu kama Kikwete angeweza kuukwaa uongozi wa juu kabisa nchini bila vyombo mbali mbali kushtukia uwezo wake kuongoza. Lakini kwa Tanzania haikuwa ajabu kuwa tofauti na hali halisi, huo uwezo mdogo wa Kikwete ndio ulitumika kama sifa kuu ya kuukwaa Uraisi. Je mpaka hapo Watanzania, tumejifunza nini na tutegemee nini ?
 
mimi nawashangaa kweli ninyi; yaani mnashangaa nani amemuajiri mh. rais? hivi ni kweli hamumfahamu hata kidogo? ngoja niwaeleze basi;
ALIYEMUWEKA MADARAKANI MH. RAIS NI WANANCHI WA TANZANIA; KWA NJIA YA KIDEMOKRASIA, ALICHAGULIWA KWA ASILIMIA 61 NA WANANCHI KATIKA UCHAGUZI WA 2015, SASA MNACHOSHANGAA NINI? KIMAHESABU YA KIDEMOKRASIA HATA WALE ASILIMIA 39 PIA WAMEMCHAGUA MH. RAIS! KWA MANTIKI HIYO HATA NYIE MAGWANDA PIA MMEMCHAGUA MH.RAIS; YAANI MLICHAGUA JAKAYA CARE OF ALIKUWA WILBROD; NI RAIS WETU HUYU TUMUUNGE MKONO TUACHE MATUSI SOTE TUNAJENGA NYUMBA MOJA AHTUGOMBANII FITO
 
wamarekani wanahitaji Uranium na wameanza kutoa vitisho kwenye e mail za viongozi mbali mbali wa serikali.........na membe ni mmoja wa waathirika wa zoezi hili pia, mwamunyange na shimbo pia..........kuweni macho nchi inauzwa muda si mrefu
 
The answer lies in this simple analysis, take your time piece these things together and you will

have the answer:

1. identify third world presidents that were/are in very good terms with the western world

2. Run a background check on them.

3. Look at the portfolio of natural resources within their territorial boundaries

4. Look at the number of international visits during their terms and the countries they visit frequently

5. How many major reforms did they introduce??? Who were their beneficiaries??

6. What are their strong interpersonal skills???
 
mimi nawashangaa kweli ninyi; yaani mnashangaa nani amemuajiri mh. rais? hivi ni kweli hamumfahamu hata kidogo? ngoja niwaeleze basi;
ALIYEMUWEKA MADARAKANI MH. RAIS NI WANANCHI WA TANZANIA; KWA NJIA YA KIDEMOKRASIA, ALICHAGULIWA KWA ASILIMIA 61 NA WANANCHI KATIKA UCHAGUZI WA 2015, SASA MNACHOSHANGAA NINI? KIMAHESABU YA KIDEMOKRASIA HATA WALE ASILIMIA 39 PIA WAMEMCHAGUA MH. RAIS! KWA MANTIKI HIYO HATA NYIE MAGWANDA PIA MMEMCHAGUA MH.RAIS; YAANI MLICHAGUA JAKAYA CARE OF ALIKUWA WILBROD; NI RAIS WETU HUYU TUMUUNGE MKONO TUACHE MATUSI SOTE TUNAJENGA NYUMBA MOJA AHTUGOMBANII FITO


Demokrasia ipi unayoiongelea wewe hiyo ya kuchakachua kura, jamani muwe mnaongea vitu vyenye mantiki alafu ujue unadili na watu wa aina gani humu jamvini sio unakurupuka tu. Jk anatupeleka kubaya na ukweli ni kwamba amepita kiujanja ujanja tu.
 
Hapo kwenye red, hivi hayo madai ni ya kweli???????????

wamarekani wanahitaji Uranium na wameanza kutoa vitisho kwenye e mail za viongozi mbali mbali wa serikali.........na membe ni mmoja wa waathirika wa zoezi hili pia, mwamunyange na shimbo pia..........kuweni macho nchi inauzwa muda si mrefu
 
HIVI VIJIDOTI TANGU CHUO CHA MONDULI HADI BUTIAMA KUNA SIRI NZITO SANA

Ni maelezo mazito sana haya na vijidoti vingi sana kuweza kuunganika tangu Monduli, Lindi hadi Butiama wakuu!!!!!!!!!!!!

[SIZE=4 said:
Mzizi wa Mbuyu;1667451]Kipindi hicho mkuu wa chuo alikuwa Gideon Sayore, Kikwete alikuwa ni mmoja wakufunzi wa siasa chuoni hapo.

... lakini yeye hakujali, cha muhimu ilikuwa kusalimisha maisha yake......

Basi huo ndiyo ukawa mwisho wa JK Monduli,........... hukurudi akaja Dar na kupangiwa kazi nyingine na chama... lakini alikuwa anamlaani sana Nyerere eti kwanini alimfanyia vile!!

Hicho ndicho chanzo cha JK kumchukia mwalimu na kugoma katakata kumwita baba wa taifa hadi leo! Yeye humwita mzee Nyrere tu au mwalimu baasi...na mara chache akiwa nje ya nchi humwita 'Father of our Nation', lakini ni pale anapotaka kupigiwa makofi kwa nukuu za Mwalimu....

**Ndugu zangu hiki ni kisa cha ukweli kwa 100%, inawezekana uandishi wangu ukawa na upungufu, lakini niemekipata kutoka watu mbalimbali waliowahi kuwa karibu sana na mkasa huu...
[/SIZE]
 
Back
Top Bottom