Nani anamiliki Internet(Who owns the internet)?

rosemarie

JF-Expert Member
Mar 22, 2011
6,889
3,412
Naomba kufahamu kwa undani yafuatayo!!!

Internet ni nini?
Nani mmiliki wa internet?
Nini faida za internet?
Nini hasara za internet??

Napenda sana kufahamu zaidi juu ya yote hayo,
naomba mnaopenda kuweka link hazisaidii sana,
naomba ueleze kutokana na ufahamu wako!!!!!.
 
Kwa uelewa mdogo nilonao na msaada mkubwa wa google na inteenet yenyewe nitajaribu kujibu maswali yako kwa kila nitakapopata muda

Itakapodi nitaweka link lakini kw akuwa umesisisitiza hutaki lin ni taweka link baada ya kutoa maelezo machache. ya hicho nilichoweka link.

Internet ni nini?

Internet ni mtandao( Network) wa kompyuta mkubwa kuliko mtandao yote. Tofauti ya mtandao wa internet na mitandao ya binafasi ya kampuni an mashirikaa au serikali ni kuwa internet ni “decentetralised by design”

Wanaposema interenet ni decentralised by design maana yake ni kuwa haina single point of faulire. Wakati mitandao ya mashirika na makapuni ina “moyo” Eg ukishambulia Domain controller ya UN au Microsoft au wizara ya Ujenzi au Barclasys bank inaweza kuwa down lakini kinadharia internet haiwezi kuwa down

Refer to What is Internet? - A Word Definition From the Webopedia Computer Dictionary


Wikipedia inasema internet ni mtandao ya mitandao na hapa ninanukuu sehemu ya maelezo yao …..
.......It is a network of networks that consists of millions of private, public, academic, business, and government networks, of local to global scope, that are linked …..

Wikipedia nao wanasisitiza juu ya dentralised state ya internet kwa malezo haya nanukuuu

………….. The Internet has no centralized governance in either technological implementation or policies for access and usage; each constituent network sets its own standards………
Refer to Internet - Wikipedia, the free encyclopedia
 
Je internet Ilianza lini na ilianzajeanzaje

Kwa mujibu wa wataalam internet date back to 1957.( Miaka mine kabla Tanganyia kupata ujuru wa bendera). Na haya ni mambo yaliyochangia

  • Idea ya time sharing - Ni concept ambayo wataaalamu waliza ufikiria kuwaweesha watu zaidiya mmoja kugawana CPU time ya kompyuta moja
  • Cold war- Kitendo cha USSR kuweza kutuma satellite kwenye orbit SPUTNEK kwa mara wanza kiliwaogofya USA . Uoga huo uliwafanya waunde DARPA( Defence Advaced Researched Project Agency) Soma hapa upate picha DARPA - Wikipedia, the free encyclopedia
  • Usiache kusiiliza clip hii .kama utakuwa na swali uliza
 
Last edited by a moderator:
Wewe unafanya research au? then hutaki kupewa link kwanini? Au hujui kiingereza ndio maana unakataa kupewa link?
 
Kwa uelewa mdogo nilonao na msaada mkubwa wa google na inteenet yenyewe nitajaribu kujibu maswali yako kwa kila nitakapopata muda

Itakapodi nitaweka link lakini kw akuwa umesisisitiza hutaki lin ni taweka link baada ya kutoa maelezo machache. ya hicho nilichoweka link.

Internet ni nini?

Internet ni mtandao( Network) wa kompyuta mkubwa kuliko mtandao yote. Tofauti ya mtandao wa internet na mitandao ya binafasi ya kampuni an mashirikaa au serikali ni kuwa internet ni "decentetralised by design"

Wanaposema interenet ni decentralised by design maana yake ni kuwa haina single point of faulire. Wakati mitandao ya mashirika na makapuni ina "moyo" Eg ukishambulia Domain controller ya UN au Microsoft au wizara ya Ujenzi au Barclasys bank inaweza kuwa down lakini kinadharia internet haiwezi kuwa down

Refer to What is Internet? - A Word Definition From the Webopedia Computer Dictionary


Wikipedia inasema internet ni mtandao ya mitandao na hapa ninanukuu sehemu ya maelezo yao …..

Wikipedia nao wanasisitiza juu ya dentralised state ya internet kwa malezo haya nanukuuu


Refer to Internet - Wikipedia, the free encyclopedia

thank you mtazamaji
 
thank you mtazamaji

Swali lako limenifanya nami nijfiunze japo hili swali la kwanza ni la history zaidi sio mbaya.
Hiyo youtube video niliyweka ina maelezo mazuri ya histri yainternet japo ni technical lakini inaonyesha
  • Source ya intenet ni Jeshi la marekeni
  • Woga wa USA wa vifaa vya Cuba na USSR ilibidi watengeneze kitu amabcho hata kama kituo chao cha taarifa ( mainframe center) kitashumbuliwa basi vituo vitandelea kufanya kazi bila shida
  • Baadae concept ya mtadao huo wa Network ya jeshi ukazidi kukuzwa na kuzaaa cocncpet ya kijeshi iliiyoitwa APARNET based in USA Concept ya kibiashara iliyoitwa NPL( National Physical labarory england) based in england na concept ya kisayansi iliyokuwa based france iliyoitwa CYCLADES
 
Nani mmiliki wa ainternet ?

Ingawa chanzo na umiliki wake mwanzo ulianzia kwenye jeshi la marekani Hivi Sasa internet haina mmiliki. Lakini kitu kisichokuwa na msimamizi kinaweza kusababisha matatizo kwenye mambo fulani fulani . kuna baadhi ya vitu na mambo ya internet imebidi viwekwe chini na Non profit institution kufanya cordination ya mambo kusitokee mkanganyiko

ICANN- imepewa jukumu la ku crordinate mambo ya DNS na IP adress. Hivi sasa Ip adress zinaztumika ni Ipv4 na dadi ya zilizopo ni chache sana kuendana na mahitaji. So taasisi kama hii ndo iliyotoa mwongozo wa jinsi IPv6 inavyotakiwa kuwa.

Soma maelezo ya About ICANN hapa ICANN | About katika maelezo yao unaona wanasisitiza

.....ICANN doesn't control content on the Internet. It cannot stop spam and it doesn't deal with access to the Internet......... it does have an important impact on the expansion and evolution of the Internet.

So unaweza kuona Internet haina manager bali ina tasisi zinazfanya cordination

Taasisis nyingine inahusika na mambo ya internet inaitwa internet Engineering Task Force ( IETF)

...The mission of the IETF is to make the Internet work better by producing high quality, relevant technical documents that influence the way people design, use, and manage the Internet. Newcomers to the IETF should start here....... Soma maelzo zaidi hapa http://www.ietf.org/

Next itakuwa faida na hasara. nadhani zipo maelefu na maelfu nzuri na mbaya . Tutaendelea

currently, Lulzsec owns the internet! :evil:

Hahahha hawa madogo naona wamesitisha operation yao Antisec.



 
Nani mmiliki wa ainternet ?

Ingawa chanzo na umiliki wake mwanzo uliania kwenye jeshi la marekani Hivi Sasa internet haina mmiliki. Lakini kitu kisichokuwa kinaweza kusababisha matatizo kwenye mambo fulani S kuna baadhi ya vitu na mambo ya internet imebidi viwekwe chini na Non profit institution kufanya cordination ya mambo kusitokee mkanganyiko

ICANN- imepewa jukumu la ku crordinate mambo ya DNS na IP adress. Hivi sasa Ip adress zinaztumika ni Ipv4 na dadi ya zilizopo ni chache sana kuendana na mahitaji. So taasisi kama hii ndo itayotoa mwongozo wa jinsi IPv6 inavyotakiwa kuwa.

Soma maelezo ya About ICANN hapa ICANN | About katika maelezo yao unaona wanasisitiza



So unaweza kuona Internet haina manager bali ina tasisi zinazfanya cordination

Taasisis nyingine inahusika na mambo ya internet inaitwa internet Engineering Task Force ( IETF)








settlite ina uhusiano gani na internet?
 
settlite ina uhusiano gani na internet?

Katika mawasiliano au communication kuna vitu vikuu
  • Mtumaji /sender
  • Mtumimiwaji /Receiver
  • ujumbe - Message/
  • Medium- Njia inayotumika kusafirisha ujumbe (
Sasasa satelite ni moja ya medium of communication inayonaotumika kusafiririsha ujumbe kutoka sehemu moja kwenda nyingine.

Mawasiliano ya Ulaya na marekani ya internet yanatumia waya uliopita chini ya maji na si satelite. hii medio ya wire inaitwa fiber optic na ndio utakuwa umesikia a hata tanzania na afrika kuna mkonga ulikuwa unatandazwa kuunganisha afrika au africa mashariki na mabara mengine kwa waya hhio za fiber opitic zinazopita baharini.

Huu mkonga ni katika kuboresha quality ya internet ya usafirishaji wa data wa kasi wa internet. Satelite ziko slow ukilinganisha na fiber optic.

Satelite communication s ni somo na mada nyiinginendrefu na interesting sana unaweza kuchgulia hapa HowStuffWorks "How Satellites Work"
 
Katika mawasiliano au communication kuna vitu vikuu
  • Mtumaji /sender
  • Mtumimiwaji /Receiver
  • ujumbe - Message/
  • Medium- Njia inayotumika kusafirisha ujumbe (
Sasasa satelite ni moja ya medium of communication inayonaotumika kusafiririsha ujumbe kutoka sehemu moja kwenda nyingine.

Mawasiliano ya Ulaya na marekani ya internet yanatumia waya uliopita chini ya maji na si satelite. hii medio ya wire inaitwa fiber optic na ndio utakuwa umesikia a hata tanzania na afrika kuna mkonga ulikuwa unatandazwa kuunganisha afrika au africa mashariki na mabara mengine kwa waya hhio za fiber opitic zinazopita baharini.

Huu mkonga ni katika kuboresha quality ya internet ya usafirishaji wa data wa kasi wa internet. Satelite ziko slow ukilinganisha na fiber optic.

Satelite communication s ni somo na mada nyiinginendrefu na interesting sana unaweza kuchgulia hapa HowStuffWorks "How Satellites Work"


thank you!
 
thank you!

endeleaza kuuliza tu Rosmarie

lakini sasa ebu na wewe zamu yako taja au fafanua au toa mifano ya faida na hasara ya internet. Au ongelea kitu chochote kuhusu internet ambacho unapenda kutujulisha . Imeandikwa peaneni..... msinyimane. In thi case I mean maarifa teh teh teh teh

Na maarifa yananoga pale yanapo tiririka both side. to and from .
 
endeleaza kuuliza tu Rosmarie

lakini sasa ebu na wewe zamu yako taja au fafanua au toa mifano ya faida na hasara ya internet. Au ongelea kitu chochote kuhusu internet ambacho unapenda kutujulisha . Imeandikwa peaneni..... msinyimane. In thi case I mean maarifa teh teh teh teh

Na maarifa yananoga pale yanapo tiririka both side. to and from .


faida nazojua mimi ni easy comminication,ndiyo maana siku hizi hatuandikiani barua kama zamani,tuna email,hasara ndio hivyo no private
 
endeleaza kuuliza tu Rosmarie

lakini sasa ebu na wewe zamu yako taja au fafanua au toa mifano ya faida na hasara ya internet. Au ongelea kitu chochote kuhusu internet ambacho unapenda kutujulisha . Imeandikwa peaneni..... msinyimane. In thi case I mean maarifa teh teh teh teh

Na maarifa yananoga pale yanapo tiririka both side. to and from .


swali lako gumu kwelikweli,hapo ulipo labda unaniona kweupe!!
natamani ningekuwa hacker ningefanya vurugu mpaka watu wangekoma,
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom