rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,889
- 3,412
Naomba kufahamu kwa undani yafuatayo!!!
Internet ni nini?
Nani mmiliki wa internet?
Nini faida za internet?
Nini hasara za internet??
Napenda sana kufahamu zaidi juu ya yote hayo,
naomba mnaopenda kuweka link hazisaidii sana,
naomba ueleze kutokana na ufahamu wako!!!!!.
Internet ni nini?
Nani mmiliki wa internet?
Nini faida za internet?
Nini hasara za internet??
Napenda sana kufahamu zaidi juu ya yote hayo,
naomba mnaopenda kuweka link hazisaidii sana,
naomba ueleze kutokana na ufahamu wako!!!!!.