Who owns Heglig?

simplemind

JF-Expert Member
Apr 10, 2009
16,409
9,183
Sudan and South Sudan are at brink of full blown war, Who exactly owns this patch of oil rich land?
 
The problem of S-SUDAN after receiving her independence by support of UN thru US and and allies sasa inataka kuchukua kila kitu especially OIL yote ikumbukwe hii ilikua ni nchi moja sasa inapogawanyika ni lazima utajiri ugawanywe ikibidi sawa lakini sudan kusin imegawiwa mafuta zaidi ya 85% lakini ata hili eneo dogo wamelivamia na hatujui km wanauwezo wa kupigana na north.....
 
Wadau mimi uwa nasafiri sana kwenda South Sudan na uwa shughuli zangu zinafanya ni interact sana na Government officials, kwa kweli attitude ambayo serikali yao imeanza nayo ni yakusikitisha. Ni wajeuri, hawaheshimu mikataba na makubaliano yeyote, hali hii inatisha na watu wengi wanahofu na mstakabali wa nchi hii. juzi nimeona kwenye aljazira raisi wao akimwambia UN secretary general kwamba yeye hajamuajiri kwa hiyo asimuamurishe kutoka Heglig, hawa jamaa wamesahau kwamba uhuru waliupata kutokana na msaada ya international community, wameshindwa kusoma upepo unavyoenda
 
Wadau mimi uwa nasafiri sana kwenda South Sudan na uwa shughuli zangu zinafanya ni interact sana na Government officials, kwa kweli attitude ambayo serikali yao imeanza nayo ni yakusikitisha. Ni wajeuri, hawaheshimu mikataba na makubaliano yeyote, hali hii inatisha na watu wengi wanahofu na mstakabali wa nchi hii. juzi nimeona kwenye aljazira raisi wao akimwambia UN secretary general kwamba yeye hajamuajiri kwa hiyo asimuamurishe kutoka Heglig, hawa jamaa wamesahau kwamba uhuru waliupata kutokana na msaada ya international community, wameshindwa kusoma upepo unavyoenda

Mkuu hata mimi nawashagaa sana! Sijuhi ni nchi gani inawapa kichwa/jeuri, wakawa na ndoto za kufikili wanaweza kuwa na ubavu wa kupigana vita na N.Sudan wakawashinda!

Leo hii nilimuona Raisi wao kwenye TV akilalamika, eti International Community imekaa kimya wakati nchi yao ikipigwa mabomu na N.Sudan ajuhi ni suicidal kubishana na mtu kama UN Secretary General; nasikitika kusema kwamba Serikali yao aitumii busara hata kidogo katika mahamuzi yao - jeuri zao hizo zitakuja kuwa-cost dearly.

Mkuu, ebu tujuze kidogo, hivi Govt officials inawafanyia jeuri raia wote kutoka Africa Mashariki au kuna nchi zinazo pendelewa.
 
Binary huwezi compete ki-mada kuhusu Sudan zote mbili, unaonekana huna uwezo na wala huijui historia ya hizi nchi....please ask for a pierce of advice kwanza.
 
Mkuu hata mimi nawashagaa sana! Sijuhi ni nchi gani inawapa kichwa/jeuri, wakawa na ndoto za kufikili wanaweza kuwa na ubavu wa kupigana vita na N.Sudan wakawashinda!

Leo hii nilimuona Raisi wao kwenye TV akilalamika, eti International Community imekaa kimya wakati nchi yao ikipigwa mabomu na N.Sudan ajuhi ni suicidal kubishana na mtu kama UN Secretary General; nasikitika kusema kwamba Serikali yao aitumii busara hata kidogo katika mahamuzi yao - jeuri zao hizo zitakuja kuwa-cost dearly.

Mkuu, ebu tujuze kidogo, hivi Govt officials inawafanyia jeuri raia wote kutoka Africa Mashariki au kuna nchi zinazo pendelewa.


Tatizo kubwa ninaloliona kwenye serikali yao inasumbuliwa sana na lack of strategic vision, rampat corrumption na ukabila mkali ndani ya serikali. Kwa ujumla ujeuri wanafanya kwa watu wote tuu sijaona kama wameegemea upande fulani lakini ukiangalia kwa makini pia wamekosa father figure kama vile Garang ambaye alikuwa ana articulate aspiration ya watu wake
 
Kuna documentary nzuri kuhusu corruption na ukabila south sudan itarushwa Aljazira, alhamisi 2000hrs GMT
 
Back
Top Bottom