HAZOLE
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 1,551
- 708
mkuu hata tukimjua sioni cha kufanya maana wa tz sisi ni wazito kuchukua maamuzi magumu. sanasana tutabakia tunatukana vijiweni tunashukuru kwa ufafanuzi!kwa maelezo yako yawezekana dealer ndiye anayecheza mchezo mchafu,ni vizuri tukamjua huyo 'dealer' anayemtunishia misuli mmiliki!