Niliwaambia wana jf hapa jamvini watu waachane na kelele za ewura hao wapo kisiasa zaidi kuliko uhalisia wao.ukweli wa hii saga ni hivi:kama wengi walivyochangia BP ina mshirika ambae ni serikali 50-50 na kweli imeuzwa kwa Puma energy, BP kama makampuni mengine ukiacha Gapco hajaachia mafuta yake kwa suala moja kuu itapata hasara ya mabilioni.
Suala hili haliko kwa ngereja tu, mkurugenzi wa kampuni hiyo siku 4 zilizopita aliitwa wizarani maneno yakaishia Ikulu kwa Mr Luhanjo BP imeweke hesabu wazi na maamuzi ya kuuza au kutouza yako mikononi mwa bodi ya kampuni hiyo.
Katika hili EWURA hawaelewi ngoma wanayoicheza kwa sababu wanaonekana kupotosha umma wa watanzania kwa kigezo cha kunyang'anya leseni.Nikweli hapo kati bei imekuwa ikipanda kidogo kidogo lakini kushuka kwa bei zaidi ya sh.200 na zaidi unategemea nini?
TRA walishachukua kodi zao,hapa janvini hayupo mtu TRA aweke ushahidi???wako kimyaaa kama hawahusiki kuwajuza watz kuhusu hili.
Suala hili haliko kwa ngereja tu, mkurugenzi wa kampuni hiyo siku 4 zilizopita aliitwa wizarani maneno yakaishia Ikulu kwa Mr Luhanjo BP imeweke hesabu wazi na maamuzi ya kuuza au kutouza yako mikononi mwa bodi ya kampuni hiyo.
Katika hili EWURA hawaelewi ngoma wanayoicheza kwa sababu wanaonekana kupotosha umma wa watanzania kwa kigezo cha kunyang'anya leseni.Nikweli hapo kati bei imekuwa ikipanda kidogo kidogo lakini kushuka kwa bei zaidi ya sh.200 na zaidi unategemea nini?
TRA walishachukua kodi zao,hapa janvini hayupo mtu TRA aweke ushahidi???wako kimyaaa kama hawahusiki kuwajuza watz kuhusu hili.