Tumain
JF-Expert Member
- Jun 28, 2009
- 3,154
- 70
Naomba kwa wanaofahamu wanifahamishe nchi yenye sifa zifuatazo ili nianze utaratibu wa kuhamia huko na kuwalea watoto wangu waige utamaduni ninaoutamani
1. Nchi ambayo hawaombi msaada wala kuchukua misaada kutoka kwa nchi zingine
2. Nchi ambayo haipokei mikopo ya kinyonyaji kutoka WB au IMF; badala yake inakopa kutoka kwa wananchi wake kwa miradi yenye tija kwao wenyewe.
3. Nchi ambayo wananchi wanaishi kwa jasho la mikono yao na kurizika, sipendi watu wanaokula wasichokizalisha, wasichonacho, na kujiona wa maana eti wame win!
4. Nchi ambayo wahalifu, wezi, wazinifu, mafisadi hushughulikiwa kwa nguvu zote na huaibishwa mbele ya kadamnasi bila kujali cheo, rangi, dini na kabila lake.
5. Nchi ambayo watu wake hawapendi kupendelewa, kupendelea na wanapopendelewa nafasi, elimu, biashara, etc..kutokana na sababu yoyote ile, aliyependelewa na aliyependelea wanajisikia vibaya na kuacha haki itendeke. zaidi hupewa adhabu kwa aibu hiyo.
6. Nchi ambayo supermarket zinauza bidhaa za ndani na si bidhaa za nje, mfano sipendi supermarket zinazouza machungwa kutoka SA wakati kuna machangwa kutoka Tanga.
Who knows this country on the planet earth???
1. Nchi ambayo hawaombi msaada wala kuchukua misaada kutoka kwa nchi zingine
2. Nchi ambayo haipokei mikopo ya kinyonyaji kutoka WB au IMF; badala yake inakopa kutoka kwa wananchi wake kwa miradi yenye tija kwao wenyewe.
3. Nchi ambayo wananchi wanaishi kwa jasho la mikono yao na kurizika, sipendi watu wanaokula wasichokizalisha, wasichonacho, na kujiona wa maana eti wame win!
4. Nchi ambayo wahalifu, wezi, wazinifu, mafisadi hushughulikiwa kwa nguvu zote na huaibishwa mbele ya kadamnasi bila kujali cheo, rangi, dini na kabila lake.
5. Nchi ambayo watu wake hawapendi kupendelewa, kupendelea na wanapopendelewa nafasi, elimu, biashara, etc..kutokana na sababu yoyote ile, aliyependelewa na aliyependelea wanajisikia vibaya na kuacha haki itendeke. zaidi hupewa adhabu kwa aibu hiyo.
6. Nchi ambayo supermarket zinauza bidhaa za ndani na si bidhaa za nje, mfano sipendi supermarket zinazouza machungwa kutoka SA wakati kuna machangwa kutoka Tanga.
Who knows this country on the planet earth???