Muite Dr. John Garang.... Southern Sudan waliamini huyo ndio angekua mkombozi wao katika usimamizi wa rasilimali zao!
ndo maana wapenda mafuta wakaamua kupita nae fasta kabla hajasababisha damage zaidi nn ......
Muite Dr. John Garang.... Southern Sudan waliamini huyo ndio angekua mkombozi wao katika usimamizi wa rasilimali zao!
Niwemugizi, hebu nisaidie kunielewesha katika jambo hili.
1. Watu wengine wanasema hili swala la Msevuni na Kagame kushirikia na kuwasaidia wahasi, tena wahasi ambao wamewahasisi wenyewe, ni kuhakikisha kabila la Kitutsi linashika hatamu ya utawala katika nchi ya Rwanda, DRC, na Uganda, kwa sababu inasadikika kuwa Mseveni ana asili ya Kitutsi, kwasababu kabila lake la Kinyankole kwa asili ni Watutsi. 2. Unafikiri M7 na Kagame watapona na ICC.
Muite Dr. John Garang.... Southern Sudan waliamini huyo ndio angekua mkombozi wao katika usimamizi wa rasilimali zao!
he he he he he he jamaa alikuwa hardliner ile mbaya na kwenye ishu ya mafuta angekuwa mwiba mchungu kwa mabepari aisee......