Who is visiting "Ze Utamu"? Athari za Utandawazi na haki za Utamaduni wa mtanzania
Kuna hii web site inayosumbua akili za watanzania wengi sana nimeamua kuitumia kuelezea suala la usimamizi wa habari tando. Sipendi kwenda kwa undani sana kuhusiana na habari zinazoandikwa humo. Suala langu nataka kujua, je sheria za Tanzania katika kusimamia uhuru wa habari zinaendana na kasi ya teknolojia ya sasa. Ukichukulia kabisa ya kwamba Internet imechukua nafasi ya conventional news media.
Ntakupa mfano mzuri wa sheria za Uingereza na Marekani kuhusu masuala ya libel [kuchafuliana majina]. Sheria za Uingereza zimeenda mbali sana na kuweka mazingira ya kuweza mushitaki mtu Uingereza (Libel Tourism). Mfano wa kesi moja ya Libel ni ya Mwandishi wa habari wa marekani Rachel Ehrenfeld, ambaye alimtuhumu tajiri wa Saudi Arabia: Bin Mahfouz na familia yake kwamba wanafund magaidi. Kitabu cha huyu mwandishi kilichapishwa Marekani lakini kiliuzwakopi 20 kupitia mtandao uliosajiliwa huko Uingereza. Ehrenfeld aliamua kutokutokea mahakamani kukanusha madai ya hiyo kesi.Alipigwa faini ya paundi 10, 000 na gharama nyingine za kuendesha kesi. Mwandishi huyu alijua ya kwamba kama hiyo kesi ikifunguliwa Marekani isngefika popote kwa sababu ya haki kubwa za kikatiba (freedom of speech under 1st Amendement) zingemlinda. Lakini kwa Uingereza ni tofauti.
Swali la msingi ni je, Tanzania ifuate mfumo gani katika kusimamia habari zinazochapishwa kwenye mitandao. Je, tufuate Freedom of speech mode as granted by the First Amendment of the U.S. constitution au tufuate mfumo wa Uingereza ambao umeweka mazingira magumu katika uhuru wa habari.
Kumbuka wanasiasa na watu maarufu Marekani hawana kinga kubwa ya masuala kama sedition au defamation kwa sababu Supreme Court ya marekani imesema ya kwamba ndiyo dhaama za umaarufu na kuwa mwanasiasa kwa hiyo maisha yako yanakuwa sehemu ya jamii.
Naomba kuwakilisha.
Kuna hii web site inayosumbua akili za watanzania wengi sana nimeamua kuitumia kuelezea suala la usimamizi wa habari tando. Sipendi kwenda kwa undani sana kuhusiana na habari zinazoandikwa humo. Suala langu nataka kujua, je sheria za Tanzania katika kusimamia uhuru wa habari zinaendana na kasi ya teknolojia ya sasa. Ukichukulia kabisa ya kwamba Internet imechukua nafasi ya conventional news media.
Ntakupa mfano mzuri wa sheria za Uingereza na Marekani kuhusu masuala ya libel [kuchafuliana majina]. Sheria za Uingereza zimeenda mbali sana na kuweka mazingira ya kuweza mushitaki mtu Uingereza (Libel Tourism). Mfano wa kesi moja ya Libel ni ya Mwandishi wa habari wa marekani Rachel Ehrenfeld, ambaye alimtuhumu tajiri wa Saudi Arabia: Bin Mahfouz na familia yake kwamba wanafund magaidi. Kitabu cha huyu mwandishi kilichapishwa Marekani lakini kiliuzwakopi 20 kupitia mtandao uliosajiliwa huko Uingereza. Ehrenfeld aliamua kutokutokea mahakamani kukanusha madai ya hiyo kesi.Alipigwa faini ya paundi 10, 000 na gharama nyingine za kuendesha kesi. Mwandishi huyu alijua ya kwamba kama hiyo kesi ikifunguliwa Marekani isngefika popote kwa sababu ya haki kubwa za kikatiba (freedom of speech under 1st Amendement) zingemlinda. Lakini kwa Uingereza ni tofauti.
Swali la msingi ni je, Tanzania ifuate mfumo gani katika kusimamia habari zinazochapishwa kwenye mitandao. Je, tufuate Freedom of speech mode as granted by the First Amendment of the U.S. constitution au tufuate mfumo wa Uingereza ambao umeweka mazingira magumu katika uhuru wa habari.
Kumbuka wanasiasa na watu maarufu Marekani hawana kinga kubwa ya masuala kama sedition au defamation kwa sababu Supreme Court ya marekani imesema ya kwamba ndiyo dhaama za umaarufu na kuwa mwanasiasa kwa hiyo maisha yako yanakuwa sehemu ya jamii.
Naomba kuwakilisha.