babayah67 JF-Expert Member Mar 28, 2008 493 79 Apr 15, 2011 #2 Ni Baba yake na Banana Zoro, Mzee Zahir Ally Zorro!!!
Al Zagawi JF-Expert Member Mar 17, 2009 2,461 1,447 Apr 15, 2011 #3 huyo ni muimbaji wa...Cleoptra alikuwa mtawala wa misri..kipindi kirefu nyuma..kabl hajazaliwa masiah... anaitwa Zahir Ally Zorro
huyo ni muimbaji wa...Cleoptra alikuwa mtawala wa misri..kipindi kirefu nyuma..kabl hajazaliwa masiah... anaitwa Zahir Ally Zorro
kakuruvi JF-Expert Member Sep 2, 2009 770 256 Apr 15, 2011 #4 Al Zagawi said: huyo ni muimbaji wa...Cleoptra alikuwa mtawala wa misri..kipindi kirefu nyuma..kabl hajazaliwa masiah... anaitwa Zahir Ally Zorro Click to expand... Sio huo tu ana kipaji cha kuimba nyimbo za hisia aliimba pia homa ya mapenzi, zinduna,sophi na uzuri wa tausi, zitafute ni nyimbo tamu sana.
Al Zagawi said: huyo ni muimbaji wa...Cleoptra alikuwa mtawala wa misri..kipindi kirefu nyuma..kabl hajazaliwa masiah... anaitwa Zahir Ally Zorro Click to expand... Sio huo tu ana kipaji cha kuimba nyimbo za hisia aliimba pia homa ya mapenzi, zinduna,sophi na uzuri wa tausi, zitafute ni nyimbo tamu sana.
KELVIN GASPER JF-Expert Member Nov 1, 2010 1,066 454 Apr 18, 2011 #6 Hapo kwenye sikio vp? tundu la hereni au?
X-PASTER JF-Expert Member Feb 12, 2007 11,610 1,809 Apr 18, 2011 #7 Last edited by a moderator: Jan 4, 2016