Wote mnawaonea mimi namchukia Julius Nyerere yeye ndio shina la yote mnayoyaona leo, alihakikisha katiba inasambamba na matakwa yake alidhani angeishi milele leo watu wanasaga meno wakidai katiba mpya na aliowaacha wamemsaliti wanaimega nchi kama hawana akili vile.
i hate Mbowe, Tundu, Mnyika
I love ZItto
well my awards goes to "the one and only ........YUSUPH MAKAMBA..." i really hate this person to the maximum.... nikimkuta anagombanana simba namsaidia simba badala yake.... vp waungwana kuna aliyemzidi.....
NB: second runner ni rostam ... then kikwete...
DR Slaa