Who is the best, Pele or Maradona?

North or south,East or west, Pele is the best,and has never touched Cocaine.

watu wanashindwa kuelewa ukweli, ukiangalia pele amecheza mpira kipindi ambacho media hazikuwa kama kipindi cha maradona, kitu kinginge pele alicheza mpira wakati dunia ilikuwa bado kwenye lindi kubwa la ubaguzi wa rangi, lakini pamoja na hayo yote wazungu walimkubali Pele bila kujali rangi yake na alijulikana dunia nzima japo vyombo vya habari havikuwa kama vya wakati wa Maradona, pele kacheza mpira wakati ule wa "juu hakuna uwanja" kipa akidaka na akisukumwa mpaka golini refa anaita kati, uruguay ilikuwa inapiga kiatu kuanzia kipa mpaka striker wa mwisho, Maradona kacheza mpira wa kubebwabebwa mna Marefa, kameroun walimgusa kidogo tu akawatukana kuwa ni manyani
watu wanaomsupport maradona ni wale wasiofata historia na kujua fact, mimi sitaona ajabu kwa miaka michache ijayo watu watakuja kusema Messi ni Bora kuliko Maradona
 
watu wanashindwa kuelewa ukweli, ukiangalia pele amecheza mpira kipindi ambacho media hazikuwa kama kipindi cha maradona, kitu kinginge pele alicheza mpira wakati dunia ilikuwa bado kwenye lindi kubwa la ubaguzi wa rangi, lakini pamoja na hayo yote wazungu walimkubali Pele bila kujali rangi yake na alijulikana dunia nzima japo vyombo vya habari havikuwa kama vya wakati wa Maradona, pele kacheza mpira wakati ule wa "juu hakuna uwanja" kipa akidaka na akisukumwa mpaka golini refa anaita kati, uruguay ilikuwa inapiga kiatu kuanzia kipa mpaka striker wa mwisho, Maradona kacheza mpira wa kubebwabebwa mna Marefa, kameroun walimgusa kidogo tu akawatukana kuwa ni manyani
watu wanaomsupport maradona ni wale wasiofata historia na kujua fact, mimi sitaona ajabu kwa miaka michache ijayo watu watakuja kusema Messi ni Bora kuliko Maradona

Good point, wakati ule hata yellow kadi haikuwepo lakini pele alikuwa anaweza kuteleza kwenye ngome kama nyoka,halafu hakuna video nyingi zinazoonyesha pele alivyocheza, hata hivyo ukiangalia youtube hizo chache zilizopo sio lazima uwe einstein kuona kuwa hakuna mchezaji hata mmoja aliyeishawahi kufikia hio level ya mpira.
 
watu wanashindwa kuelewa ukweli, ukiangalia pele amecheza mpira kipindi ambacho media hazikuwa kama kipindi cha maradona, kitu kinginge pele alicheza mpira wakati dunia ilikuwa bado kwenye lindi kubwa la ubaguzi wa rangi, lakini pamoja na hayo yote wazungu walimkubali Pele bila kujali rangi yake na alijulikana dunia nzima japo vyombo vya habari havikuwa kama vya wakati wa Maradona, pele kacheza mpira wakati ule wa "juu hakuna uwanja" kipa akidaka na akisukumwa mpaka golini refa anaita kati, uruguay ilikuwa inapiga kiatu kuanzia kipa mpaka striker wa mwisho, Maradona kacheza mpira wa kubebwabebwa mna Marefa, kameroun walimgusa kidogo tu akawatukana kuwa ni manyani
watu wanaomsupport maradona ni wale wasiofata historia na kujua fact, mimi sitaona ajabu kwa miaka michache ijayo watu watakuja kusema Messi ni Bora kuliko Maradona
umenichekesha sana kipindi hiki kipa akidaka na akisukumwa mpaka golini refa anaita kati, uruguay ilikuwa inapiga kiatu kuanzia kipa mpaka striker wa mwisho,
 
Good point, wakati ule hata yellow kadi haikuwepo lakini pele alikuwa anaweza kuteleza kwenye ngome kama nyoka,halafu hakuna video nyingi zinazoonyesha pele alivyocheza, hata hivyo ukiangalia youtube hizo chache zilizopo sio lazima uwe einstein kuona kuwa hakuna mchezaji hata mmoja aliyeishawahi kufikia hio level ya mpira.
Hii argument ni ngumu kwa sababu imejaa sana mapenzi binafsi na watu kujikuta wanagombana. Hawa watu walikuwa bora katika nyakati zao,na pia kuna kubebwa na uwezo wa timu nzima,hili kuna ambao hawalikubali pia na suala la kuwa Brazil ni kipenzi cha mashabiki wengi wa soka,linamfanya Pele kuwa juu.
Bado kuna wanaoamini kuwa ubora wa Pele ni kwa bara moja tu na alicheza zaidi Brazil, hili nalo lina mantiki japo nalo ni la kishabiki pia,Sababu kuwa soka la zamani lilikuwa ngangari nazo ni za kishabiki tu kwa sababu sheria za soka zimebadilika kutokana na kukua kwa mchezo wenyewe na vile vile kuwalinda wachezaji kutokana na ukatili wa mabeki.

Pele anabaki kuwa untouchable na hata yeye anajijua kwani wanaompa credits wanazungumzia magoli 1000 katika mpira wa enzi hizo, na ubingwa wa dunia mara 3 kwa Brazil kali kabisa na kwenye mashindano yale ya timu 16 tu. Sasa kuna wachezaji ambao walikuwa mahiri kama Pele na pengine hata kumzidi lakini watu hawataki kukubali uwezo wao, kigezo kikiwa magoli 1000 na ubingwa wa dunia mara 3. Mfano Eusebio "The Great"Fereira,Ronaldo de Lima ambaye kwa kumhofia, Pele akajikuta ana matatizo nae. Hata ukiangalia kwenye video za Brazil enzi ya Pele wapo kina Jarzinho,mechezaji aliyekuwa hodari wa kupangua ukuta mzima wa mabeki, Garrincha.

Maradona licha ya ubora wake, hakufunga magoli 1000 na hajachukua World Cup na Argentina haipendwi sana kama brazil na mbaya zaidi amecheza Soka ktk nyakati ambazo soka limeongezeka kasi na sheria nyingi zimerekebishwa.

Ni maoni yangu tu.
 
  • Thanks
Reactions: 3D.
Maradonna Went Everywhere and Win Every Thing? How about Pele? Only in Brazil ha ha ha

Maradonna mpaka sasa akiingia uwanjani bado atasumbua tu
 
hajachukua World Cup[/COLOR] na Argentina haipendwi sana kama brazil na mbaya zaidi amecheza Soka ktk nyakati ambazo soka limeongezeka kasi na sheria nyingi zimerekebishwa.

Ni maoni yangu tu.

Ukienda Kwenye Vitongoji vya Napoli Watakuua
 
Garincha,didi,vava+carlos alberto,jairzinho,tostao,riverlino=pele
brazil-pele =brazil
argentina-maradona =0
napoli-maradona =0
 
A very crucial ingredient for any "great" is elegance.
Maradona being a one-time drug addict is short on elegance...which automatically disqualifies him from a list of "greats".
This is where Pele edges Maradona, apart from everything else!
 
Maradonna mpaka sasa akiingia uwanjani bado atasumbua tu
That is why Maradona bado yupo kwenye Football because Football still needs him! Pele yeye anatafuta mchezaji anaeonekana kutishia uwezo wake ili aseme "hajafikisha goli 1000.....hajachukua world cup mara 3...!!
 
Magoli buku kitu gani bwana. Pamoja na kucheza makombe ya dunia zaidi ya matatu na kulichukua kombe hilo mara tatu lakini bado Pele amepitwa na Ronaldo de lima kwa kufunga magoli mengi kwenye michuano ya kombe la dunia (i.e 15). Diego alikua jeshi la m2 mmoja
 
  • Thanks
Reactions: 3D.
Magoli buku kitu gani bwana. Pamoja na kucheza makombe ya dunia zaidi ya matatu na kulichukua kombe hilo mara tatu lakini bado Pele amepitwa na Ronaldo de lima kwa kufunga magoli mengi kwenye michuano ya kombe la dunia (i.e 15). Diego alikua jeshi la m2 mmoja

You are right...Maradona managed to single-handedly fly the moderate Napoli to lift the Scudetto and on top of that he pulled off another stunning performance to enable his average national squad to secure the World Title.While Pele was surrownded by the greatest team ever with the likes Clodoaldo, Gérson, Jairzinho, Rivelino, and Tostão he played the same way Messsi is doing in the magnificent Barca squad...Maradona is the best of the best..
 
Mfano Eusebio "The Great"Fereira.........Garrincha.......

Sitachangia Pele vs Maradona. Nimekuja tu kukushukuru kwa kumtaja mbabe Eusebio da Silva Ferreira - huyu ni Mreno mwenye asili ya Msumbiji. Kuna wakati Wareno hata walipokuwa wamefungwa bao mbili - bila, lakini as long as Eusebio hajaingia uwanjani walikuwa wanajua ushindi bado ni wao maana akiingia uwanjani Ureno inashinda mechi hiyo. Pia Francisco dos Santos aka Garrincha. Huyu alikuwa bingwa wa kupiga faulo. Kuna wakati alipiga faulo na kufunga refa akakataa kuwa alikuwa hajaruhusu. Akaamuru irudiwe. Garrincha akarudisha mpira mita moja nyuma zaidi ya mwanzo - akafunga katika angle ile ile. Garrincha ni jina la utani walilompa kutokana na tabia yake ya utotoni ya kuwinda ndege wa porini "Garrincha."
 
wadau naombeni kujua nani zaidi kati ya hawa waliowahi kuwa nguli wa soka katika sayari yetu hii.edson arantes de nascimento al maarufu kwa jina la pele wa brazil na diego armando maradona wa argrntina.
pele.jpg
diego_maradona2_1656095c.jpg


takwimu zizingatiwe tafadhali
 
ukiniuliza Ronaldo vs Messi or Zidane vs Ronaldinho ntakujibu but hao vibabu sijawaona wakicheza zaidi ya kuangalia short clips mtandaoni
 
Ni Pele au Pele`

sababu

1. Ndiye Pionner au mwanzilishi wa style zote:-
  1. Tick tacker
  2. Acrobatic
  3. Bicycle kick
  4. Scorpion kick
  5. Scissors kick (mkasi kama aliyopiga Juan Mata juzi)
  6. Gard Murrer (hizi alikuwa anapiga Tonny Yebboa)

2. Alikuwa anafunga kwa kiungo chochote kasoro mabao ya mkono maana mabao ya kiungo hicho hayakubaliki

3. Amecheza world cup 4 amechukua 3, ikiwemo Jules lamet ambalo alichukua moja kwa moja

4. Style zake nyigine wachezaji wanaocheza sasa hawaziwezi akiwemo Maradonna

5.Kuna mambo alifanyiwa Pele ambayo hajafanyiwa mchezaji yoyote akiwemo Maradonna hii ni kutokana na kukubalika kwake kisoccar. Mfano
.



  1. Huko Columbia refa alimtoa nje Pele kwa kadi nyekundu matokeo yake refa ndiye alitolewa Pele akabaki
  2. Hapa Tanzania Pele na club chake cha Santos walipata mwaliko na club cha Yanga na mkataba kusainiwa kwamba waje akiwemo Pele kwa bahati mbaya mke wa Pele akajifungua kipindi hicho ikabidi Pele ahilishe safari matokeo yake mkataba ukavujwa ila kanga mpaka sasa zipo PELE NA SANTOS WAGENI WA YANGA.
  3. Alitangazwa kuwa Pele ni nyara ya serikali ya Brazil na bunge la chi hiyo kwa hiyo hakuuzwa mpaka alipostaafu kuchezea timu ya Taifa . Maradonna hakufanyiwa hivyo
  4. Hajawahi kufunga bao la mkono, Maradonna amefunga bao la mkono
  5. Pele hajawahi kubwiya unga , Maradonna alikuwa teja
  6. Pee hajakanyaga milango Polisi, Maradonna kasha fikishwa Polisi kwa tuhuma za kukutwa na unga
  7. Huko Senegal Pele na Santos walienda kucheza mechi za kirafiki na vilabu vya huko basi Pele alimpiga chenga mbaya golikipa matokeo yake kipa alivua jezi akalitupa na kuondoka mwisho wa mpira Pele alimtafuta kipa yule ampe mkono kipa yule alikataa
 
Pele kacheza mpira kipindi kigumu hakuna sheria ya kulinda nyota lakini alifanya makubwa kawavutia watu wengi waupende mpira.
Pele, kareem abdul jaber na muhammed ally hawa wana michango madhubuti katika kandanda masumbwi na kikapu mpaka kuna msemo mtu ukifanya kitu kizuri unaambiwa "umecheza kama pele "
 
Back
Top Bottom