MwanaFalsafa1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 5,565
- 836
Who is the best person never to become president of Tanzania? And this is from a list of politicians who could at one point make a run for office or run and didn't win.
Oscar Kambona- Huyu alikuwa waziri wa mambo ya nje wa Tanzania na kipindi fulani rafiki mkubwa wa Mwl Nyerere kabla ya kutuhumiwa kwa uhaini na kukumbia nchi.
Edward Sokoine- Kipenzi cha Watanzania wengi na kiongozi aliye chukia na kupambana na rushwa kuliko wote. Waziri mkuu pekee aliye kuwa na meno.
Salim Ahmed Salim- Ina semekana Nyerere ali taka huyu ndiyo awe mrithi wake sema kutokana na Wazanzibar kuto kumkubali kutokana na historia yake ilibidi nafasi hiyo apewe Mwinyi.
Augustin Mrema- Aliji zolewa umaarufu mkuwa akiwa waziri wa mambo ya ndani na uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi ndiye aliye kua mpinzani mkuu.
Dr. W. Slaa- MP na katibu mkuu wa Chadema. Mtu aliye leta upinzani mkubwa kwenye uchaguzi tokea Mrema.
Other- Kama kuna jina unaona siku litaja hapa na ndiye anae stahili zaidi.
Oscar Kambona- Huyu alikuwa waziri wa mambo ya nje wa Tanzania na kipindi fulani rafiki mkubwa wa Mwl Nyerere kabla ya kutuhumiwa kwa uhaini na kukumbia nchi.
Edward Sokoine- Kipenzi cha Watanzania wengi na kiongozi aliye chukia na kupambana na rushwa kuliko wote. Waziri mkuu pekee aliye kuwa na meno.
Salim Ahmed Salim- Ina semekana Nyerere ali taka huyu ndiyo awe mrithi wake sema kutokana na Wazanzibar kuto kumkubali kutokana na historia yake ilibidi nafasi hiyo apewe Mwinyi.
Augustin Mrema- Aliji zolewa umaarufu mkuwa akiwa waziri wa mambo ya ndani na uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi ndiye aliye kua mpinzani mkuu.
Dr. W. Slaa- MP na katibu mkuu wa Chadema. Mtu aliye leta upinzani mkubwa kwenye uchaguzi tokea Mrema.
Other- Kama kuna jina unaona siku litaja hapa na ndiye anae stahili zaidi.