Michael Jackson ni moto wa kuotea mbali hata sio wakumfananisha na huyo jamaa.
Are you serious?mfuatilie vizuri King then uje na jibu!dah umemdhalilisha sana MJ
I go with Freddie mercury
Nyinyi mgoogle who is the best Michael Jackson au Freddie mercury.Tmz Fredy alimzidi Michael Kwenye sealing Hilo nendeni online chekini.mimi nilikuwa nabisha hivyohivyo.nilivyojaribu kusikiliza
Freddie mercury ni nani wadau? ameimba nyimbo gani?
Ukali wa MJ si mpaka ugoogle uko bayana!kuonyesha upimbi wako hadharani unakiri kama MJ ulikuwa unamkubali ila baada ya kugoogle ndo unatema shudu zako hadharanai!!!MJ ni king!Nyinyi mgoogle who is the best Michael Jackson au Freddie mercury.Tmz Fredy alimzidi Michael Kwenye sealing Hilo nendeni online chekini.mimi nilikuwa nabisha hivyohivyo.nilivyojaribu kusikiliza
Hizo kura si wanapiga tu wabaguzi fulani hivi!nenda na ww ka google records zao utaamini who is MJ.au uliza freddie ana guinness records ngap as well as MJ,au msiba wa nani kati yao ulitingisha dunia?unanikumbusha kuna kipindi radio one. vijana walisema shania twine ni zaid ya dolly patton!
Muache mfalme apumzike kwa amani dada usimlinganishe na huyo gay ingawa ana asili ya Tanzania
Ni mpersian mmoja alizaliwa Znz na alikufa kwa ngoma in early 90's alikuwa shoga aliimba nyimbo kama Barcelona,Bahmein Rhampsody(kma sijakosea spelling)na crazy little thing called love kama umeshalisikia kundi la queen ndo mmoja wa member.
'we are the champion' mojawapo ya nyimbo zake maarufu!