Democracy999
JF-Expert Member
- May 26, 2012
- 945
- 189
Ni Kenya, lakini wameanza sisi tulipokuwa tumelala kwa Ujamaa wa Nyerere na Ushuziushuzi wa Mwinyi, nadhani tumshukuru tu Mkapa kwa hapa tulipo si haba, hapa tumpate tu Lowassa ikiwa Cm au Mbowe Cd