Prof SHABAN MLACHA (profesa wa kiswahili) anatajwa kua mtu anaye vuruga chuo kikuu cha dodoma (UDOM). Yeye naibu makamu mkuu wa chuo anayesimamia mipango, PESA, na utawala lakin inasemekana ndiye mwenye nguvu zaidi kuliko hata makamu mkuu wa chuo hicho.
Anatajwa kua mtu mwenye kiburi, ubabe, dharau na majivuno kiasi cha kusababisha wahadhiri na wafanyakazi wengi kuhama chuoni hapo kila kukicha. Idadi ya wahadhiri na wafanyakazi waliokwisha hama chuoni hapo kwenda vyuo mbalimbali kama UDSM, DUCE, MUCE, SUA, SUZA, SAUT na vingine ni kubwa kutokana na ubabe wa profesa huyu.
Amekua akibana pesa kwa ajili ya waadhiri kwenda kusimamia wanafunzi wanapokua wakifanya mafunzo kwa vitendo. Kwa mfano mwaka uliopita wa masomo alikataa mapendekezo ya uongozi wa chuo cha elimu ya kupangiwa wiki siku 14 kwa ajili ya kusimamia wanafunzi waliokua wakifanya mafunzo kwa vitendo lakini yeye aliamua kutoa malipo ya siku 5 ambpo wahadhiri walitakiwa kufanya assessment kwa mkoa mmoja. Uamuzi huu ulikua na athari kubwa sana hasa kwa wanafunzi wa ualimu ambao hawakufanyiwa assessment iliyozoeleka ambapo mhadhiri anatakiwa kuhudhuria darasani kushuhudia jinsi mwanafunzi wake anavyofundisha.
Badala yake wahadhiri walikusanya mafaili ya wanafunzi wote na kuyafanyia assessment na baadae kuyarudisha kwa wanafunzi kupitia kwa viongozi wao. Hii ni tofauti na vyuo vingine kama UDSM ambapo muhadhiri huudhuria darasani kushuhudia jinsi mwanafunzi anavyofundisha darasani na baadae hukaa na mwanafunzi huyo kulipitia faili lake na kujadiliana nae mambo mbali mbali ikiwa ni pamoja na kumuelekeza mahali alipokosea. Kwa hali hii kwa nini UDOM kisiitwe chuo cha kata?
Prof MLACHA pia anadaiwa kuwahi kutoa lugha za kuwadhalilisha wakufunzi na wafanyakazi wengine kwa kuwaambia kua NJAA zao ndizo zilizo wapeleka UDOM na kwamba watu walioajiriwa hapo ni watatu tu yaani yeye mwenyewe, makamu mkuu wa chuo, na DVC- ARC. Kiburi chake kinahusishwa na uswahiba wa karibu sana alionao na JK ambapo inasemekana wameoa sehemu moja.!! WADAU MNAOMFAHAMU HUYU MTU KUTOKA UDOM MNASEMAJE?
Anatajwa kua mtu mwenye kiburi, ubabe, dharau na majivuno kiasi cha kusababisha wahadhiri na wafanyakazi wengi kuhama chuoni hapo kila kukicha. Idadi ya wahadhiri na wafanyakazi waliokwisha hama chuoni hapo kwenda vyuo mbalimbali kama UDSM, DUCE, MUCE, SUA, SUZA, SAUT na vingine ni kubwa kutokana na ubabe wa profesa huyu.
Amekua akibana pesa kwa ajili ya waadhiri kwenda kusimamia wanafunzi wanapokua wakifanya mafunzo kwa vitendo. Kwa mfano mwaka uliopita wa masomo alikataa mapendekezo ya uongozi wa chuo cha elimu ya kupangiwa wiki siku 14 kwa ajili ya kusimamia wanafunzi waliokua wakifanya mafunzo kwa vitendo lakini yeye aliamua kutoa malipo ya siku 5 ambpo wahadhiri walitakiwa kufanya assessment kwa mkoa mmoja. Uamuzi huu ulikua na athari kubwa sana hasa kwa wanafunzi wa ualimu ambao hawakufanyiwa assessment iliyozoeleka ambapo mhadhiri anatakiwa kuhudhuria darasani kushuhudia jinsi mwanafunzi wake anavyofundisha.
Badala yake wahadhiri walikusanya mafaili ya wanafunzi wote na kuyafanyia assessment na baadae kuyarudisha kwa wanafunzi kupitia kwa viongozi wao. Hii ni tofauti na vyuo vingine kama UDSM ambapo muhadhiri huudhuria darasani kushuhudia jinsi mwanafunzi anavyofundisha darasani na baadae hukaa na mwanafunzi huyo kulipitia faili lake na kujadiliana nae mambo mbali mbali ikiwa ni pamoja na kumuelekeza mahali alipokosea. Kwa hali hii kwa nini UDOM kisiitwe chuo cha kata?
Prof MLACHA pia anadaiwa kuwahi kutoa lugha za kuwadhalilisha wakufunzi na wafanyakazi wengine kwa kuwaambia kua NJAA zao ndizo zilizo wapeleka UDOM na kwamba watu walioajiriwa hapo ni watatu tu yaani yeye mwenyewe, makamu mkuu wa chuo, na DVC- ARC. Kiburi chake kinahusishwa na uswahiba wa karibu sana alionao na JK ambapo inasemekana wameoa sehemu moja.!! WADAU MNAOMFAHAMU HUYU MTU KUTOKA UDOM MNASEMAJE?