Viper
JF-Expert Member
- Dec 21, 2007
- 3,667
- 1,400
Mimi wala sibabaiki na Bakharesa mwendo wangu ni uleule kaka nala vitu fresh, kama chapati natengeneza nyumbani, nynya na matunda nanunua na kusaga juice mimi mwenyewe. who is bhakhresa to me? Aisklimu hata za wachina zipo
hahaha mkuu ... kwani huo unga unaotumia kutengeneza chapati ni wa NEMBO GANI.... hahaha huwezi kumkimbia baharesa wewe.....kubali tu