Sioni sababu ya kumjadili yeye kama yeye,ila sidhan kama kuna tatizo kwake yeye kumiliki kila biashara,mfano nyanya,chapat,nazi n.k,kwa sasa mazao kama hayo naz,nyanya,na matunda mengine,unapofikia msimu wa matunda mengi huoza kwa sababu hakuna viwanda,so nadhan bakhresa ametoa ukomboz kwa wakulima wa nyanya,nazi,na wakulima wa ngano,pia si woote wenye uwezo wa kuandaa chapat,nadhan zinawasaidia sana mabachela ambao ama hawawez au hawana muda wa kupika CHAPAT