zumbemkuu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 10,831
- 8,621
Kauli ya mheshimiwa anayeondoka madarakani kuwa kuna viongozi wanataka kutumia mii ya watanzania kama ngazi kuingia ikulu inatimia. Marehemu STEVEN KWILASA MASANJA ameingia kwenye vitabu vya kumbukumbu kwa mwili wake kutumika kama ngazi ya kwanza kwenda ikulu. MWENYEZI MUNGU AMLAZE MAHALI PEMA PEPONI.
RAIS YEYOTE ATAKAEINGIA MADARAKANI AJUE NGAZI YAKE YA KWANZA KUKAJAGA NI MWILI WA MAREHEMU STEVEN, akiwa JK atambue hilo, akiwa Slaa atambue hilo. Sijui ngazi zipo ngapi nani anafuata? Mimi au wewe? Wadhani ngazi ingetumika ya Ridhiwani babake angesemaje? Je angekuwa mtoto wa Slaa, angechukua hatua gani?? Au miili itatumika kwa sisi walalahoi tu??
I am so sorry, .so sad!!
RAIS YEYOTE ATAKAEINGIA MADARAKANI AJUE NGAZI YAKE YA KWANZA KUKAJAGA NI MWILI WA MAREHEMU STEVEN, akiwa JK atambue hilo, akiwa Slaa atambue hilo. Sijui ngazi zipo ngapi nani anafuata? Mimi au wewe? Wadhani ngazi ingetumika ya Ridhiwani babake angesemaje? Je angekuwa mtoto wa Slaa, angechukua hatua gani?? Au miili itatumika kwa sisi walalahoi tu??
I am so sorry, .so sad!!