Dr DAU.
aking'oka huyu pengine malalamiko ya upendeleo wa kidini yataisha NSSF. wengi wanamlalamikia Dau kuwa ni mdini anapendelea waislam kuliko wenye dini zingine.Haiwezekani kwani jina lake la kwanza ni Ramadhani!! Angalia majina ya kwanza ya hao wahanga ,they follow a particular pattern!!
Haiwezekani kwani jina lake la kwanza ni Ramadhani!! Angalia majina ya kwanza ya hao wahanga ,they follow a particular pattern!!
aking'oka huyu pengine malalamiko ya upendeleo wa kidini yataisha NSSF. wengi wanamlalamikia Dau kuwa ni mdini anapendelea waislam kuliko wenye dini zingine.
Kwenye kuguna tugune, panapochukiza tuseme na panapofurahisha tupige makofi. Mwakyembe keshaonyesha njia ya kung'oa visiki kama ifuatavyo.
1. PAUL CHIZI-ATCL
2. WILLIAM MHANDO-Tanesco
3. CHARLES EKEREGE-TBS
4. EPHRAIM MGAWE-TPA
5. Who's next?
the next one why not to be:-Kwenye kuguna tugune, panapochukiza tuseme na panapofurahisha tupige makofi. Mwakyembe keshaonyesha njia ya kung'oa visiki kama ifuatavyo.
1. PAUL CHIZI-ATCL
2. WILLIAM MHANDO-Tanesco
3. CHARLES EKEREGE-TBS
4. EPHRAIM MGAWE-TPA
5. Who's next?