Mbalamwezi
JF-Expert Member
- Sep 30, 2007
- 800
- 171
CHA KUCHEKESHA NI WHAT WILL LATER BE A TEST ON HIS FAITHFULNESS KWENYE MAMBO YA FAMILIA...INASEMEKANA KUWA BAADA YA MKEWE KUFA ALIMUOA MDOGO WAKE NA MAREHEMU MKEWE ..AMABAYE NDIYE MKE ALIYE NAYE SASA....KAMA KUNA MWANA JF ANAJUA ZAIDI KUHUSU HAYA NA AJE ILI TUWEKE RECORD YA HUYU JAMAA VIZURI.....
Hii ya kuoa mdogo wa marehemu mke wake inatatizo gani kwa mtazamo wako? Inampuguziaje faithfulness kwenye mambo ya familia?