FDR.Jr
JF-Expert Member
- Jun 17, 2008
- 1,359
- 353
Martin shigela amelelewa na kukuzwa na muungwana kwani babake na muungwana longtime family friends......., muungwana alimbeba akiamini kijana atakuwa asset njema kwa taifa kumbe ngubi ni ngubi tu ..... Muungwana amedharirishwa na huyu kijana kwa kiwango ambacho hakipimiki, hata riz1 hawezi kuongea matembele mabovu kama ya shigela...... Naapa.