Tatizo Tanzania wateule wa rais hawapitishwi na Bunge ndiyo maana wengine hata u-research hautagundua chochote kuhusu CV zao
inamaana hata alipochaguliwa nafasi magazeti hawakutuandikia huyu jamaa ni nani?
Labda tutafute baba yake au shangazi yake vinginevyo hakuna habari yake yoyote inayojulikana. Inaonekana hata Elimu yake haijulikani. hata magazeti yameanza kumuandika baada ya 2005.
Yes, hata mimi nataka nimfahamu huyu bwana. Kuna mtu aliniambia wakati alipodai kuwa hana muda wa kuhakiki wanachama wa CCJ kuwa J. Tendwa ni kigeugeu sana atageuza kauli yake! Muda si muda tukamsikia anahakiki wanachama hao. CCJ baada ya kubaini rafu dhidi ya wanachama wake walimwambia Tendwa asitishe zoezi akagoma! Leteni data za J. Tendwa jamani!
Hivi kwanini habari za huyu John Billy Tendwa hazipatikaniki? Inakuwaje mtu mkubwa, muhimu kama yeye tunakosa historia na wasifu wake?
Yaani hata shule na vyuo alivyosoma hakuna?
Ni Jaji John Billy Tendwa... ni wakili vile vile.. mwanzoni alijaribu kuwa impartial lakini baada ya kufokewa kama mtoto mdogo na Mapuri kufuatia angalizo lake kwa CCM alinywea na kujikuta amerudishwa kwenye mstari. Kuanzia wakati huo kile CCM inataka CCM inapata..naam na ziada.
Sasa nadhani wengi mmeona kuwa Tendwa ni kitendawili kigumu... Well, kuna mdau anaandaa wasifu wake na atatuletea punde.Labda aje na yeye aanzishe yenye kumhusu Mkurugenzi mkuu wa tume ya uchaguzi,bni muhimu tuanze sasa kabla hayajatukuta huko mbeleni.
Pia alishafanya kazi mahakama ya kazi and gues what? ameacha kimada pale.
NI vizuri tumjue huyu mtu, Pamoja na kuwa mtu ambaye sikupenda hii sisijei (sikutaka tuendelee kugawanyika kipindi hiki) yeye hakupaswa kutofanya wajibu wake na amekuwa mkandamizaji sana. Yes inatakiwa tumjue mienendo yake na tabia zake ili tuweze kujua akili yake huwa inawaza vipi.
Kipindi fulani alikuwa State Attorney kule Tabora.
Ila nasikia katika tukio moja kubwa wakati akiwa katika nafasi hiyo ni pale ambapo alichukua mke wa mtuhumiwa ambaye kesi yake alikuwa anaisimamia upande wa Jamhuri na hatimaye kufikia kumweka kinyumba na baya zaidi siku mojawapo ya usikilizaji wa shauri ilo eti Tendwa aliingia mahakamani akiwa na suti ya mtuhumiwa na kupelekea mtuhumiwa kuanzisha fujo mahakamani kwa kumwambia; mke wangu umenichukulia na suti yangu pia umeivaa tena kuja kwenye shauri la kuja kunifunga?
Mwenye stori kamili juu ya hii skendo amwage hapa jamvini... mi nimeipata mtaani
Ref: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...i-taja-mamluki-tuliowapandikiza-upinzani.html"Nimesoma taarifa za John Tendwa (Msajili wa sasa) na zile zilizotolewa na Chiligati akidai nina 'matatizo', wasifikiri kwamba nina dhiki sana. Mimi nimeridhika na maisha niliyo nayo, sina sababu ya kumpigia mtu magoti, bali Mwenyezi Mungu," alisema Liundi
HApA NDIO UMUHIMU WA SAUTI YA UMEME, FMEs' aka MZEE WA NYETI UNAPOONEKANA, HII KITU INGESHUSHWA SASA HIVI, MKUU YUKO WAPI SIKU HIZI
Just a suggestion waheshimiwa...mnaonaje JF ingekuwa na forum special ya CV za viongozi wetu?