The Boss JF-Expert Member Aug 18, 2009 49,108 115,847 Aug 29, 2011 #1 mnaofuatlia bongo fleva.. nauliza huyu msanii aneitwa godzilla ametokea wapi? ana umri gani????? kiusanii labda yuko kama nani au zaidi ya kina nani? ana nyimbo ngapi?zipi na zipi?
mnaofuatlia bongo fleva.. nauliza huyu msanii aneitwa godzilla ametokea wapi? ana umri gani????? kiusanii labda yuko kama nani au zaidi ya kina nani? ana nyimbo ngapi?zipi na zipi?
Lambardi JF-Expert Member Feb 7, 2008 16,468 17,312 Aug 29, 2011 #2 Piga simu clouds watakuambia kila kitu.....maana wao ndio waliomvumbua kwenye freestyle ......mwaka juzi kama sikosei
Piga simu clouds watakuambia kila kitu.....maana wao ndio waliomvumbua kwenye freestyle ......mwaka juzi kama sikosei
ndetichia JF-Expert Member Mar 18, 2011 27,772 6,555 Aug 29, 2011 #3 katokea salasala na anasoma diploma CBE ni hayo tu...
menyidyo JF-Expert Member Oct 9, 2010 1,339 194 Aug 29, 2011 #4 ni katuni ya dinasoz anayeokoa dunia.