vCTRMA
JF-Expert Member
- Jan 12, 2016
- 306
- 102
kuforceking ndonini ndugu?????Maji mengi nani kwakwambia ndio sahihi nionyeshe mstari.kama hutaforce king
Kwanini YESU alimfata yohana mbatizji mto yordani ili akabatizwe??????/
kungekuwa na ubatizo wa kumwagiwa kichwani kama mnavyofanyiwa nyinyi YESU asingeenda kulekule ndani ya mto yordani.,.makanisa yalikuwepo tangu enzi zile basi yohana angeka kanisani na kubatiza watu kwa kuwamwagia kichwani tu kidogo,......
nikwambie ukweli ndugu kwamba ubatizo wa maji machache wa kummwagia mtu vimaji kichwani,. mnaamini kuwa mmebatizwa tayari,.hiyo sytem ilianzishwa na king constantino wa roma miaka hiyooo ya zamani,.kwasababu aliona ubatizo uliokuwapo kipindi kile na nyie waroma mlikuwa mnautumia wa maji mengi,kwakuw yeye alikuwa mfalme akaona kwenda kuzamishwa ni aibu kwake,....
ndo akaanzisha ubatizo huo wenu,...wa maji kiduchu,kichawni....alikuw anajiita consantine the great(constantinople)
...........