Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,178
- 7,319
Huyu jamaa amejitapa kuwa gwiji wa uchumi. Lakini mi namfahamu kama mojawapo ya 'wasomi feki' ambaye inajulikana kuwa PhD yake ina utata mtupu. Najua kuwa alikuwa mhadhiri chuo cha Mzumbe, chuo ambacho wahadhiri wake kadhaa waligundulika wana taaluma feki, hali iliyopelekea aliyekuwa naibu makamu mkuu mmoja wa chuo hicho kuvuliwa PhD yake na kwenda kusoma upya!
Kwa sasa Kamala anaonekana sana maeneo ya Morogoro, baada ya kupigwa chini ubunge kule kwao anasimamia Lodge yake uchwara hapa mjini. Aliwahi tena kutoa kauli yenye utata kuwa maprofesa wa vyuo wanakosea wanapoanzisha biashara za baa. Hata hivyo kauli hiyo ilishutumiwa vibaya baada ya watu kumhoji, nae akiwa mhadhiri mbona amefungua Lodge?
Kwa wadau wanaomfahamu kwa 'undani' zaidi watumegee...
Kwa sasa Kamala anaonekana sana maeneo ya Morogoro, baada ya kupigwa chini ubunge kule kwao anasimamia Lodge yake uchwara hapa mjini. Aliwahi tena kutoa kauli yenye utata kuwa maprofesa wa vyuo wanakosea wanapoanzisha biashara za baa. Hata hivyo kauli hiyo ilishutumiwa vibaya baada ya watu kumhoji, nae akiwa mhadhiri mbona amefungua Lodge?
Kwa wadau wanaomfahamu kwa 'undani' zaidi watumegee...