What makes someone to be an expert or a proffesional in a given field?. is it a university degree or what. Je kila mtu anayemaliza degree ya fani flani ni anakua mtaalam wa fani hiyo?
Nauliza hivi kwa sababu kuu mbili. Hivi karibuni nimefanya kazi katka taasisi moja na mtu ambaye ameajiriwa kama expert wa fani flani, lakini hakuwa na ujuzi nilioutegemea kama expert. Alikua amemaliza degree ya kwanza kama miaka 2 iliyopita.
Pili siku za hivi karibuni hizi nafasi za experts zimekua nyingi hasa katika NGO na miradi. Je kama taifa tuna tengenezaje experts wa fani mbalimbali?
Nauliza hivi kwa sababu kuu mbili. Hivi karibuni nimefanya kazi katka taasisi moja na mtu ambaye ameajiriwa kama expert wa fani flani, lakini hakuwa na ujuzi nilioutegemea kama expert. Alikua amemaliza degree ya kwanza kama miaka 2 iliyopita.
Pili siku za hivi karibuni hizi nafasi za experts zimekua nyingi hasa katika NGO na miradi. Je kama taifa tuna tengenezaje experts wa fani mbalimbali?