Malaria Sugu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 2,653
- 264
Naomba nimfahamu huyu Muhariri wa TZDAIMA kwa undani.
Hii imekuja baada ya Mabosi wake yaani CDM wakipambana kupinga ufisadi.Yeye anakuwa opposite side.
1)Ameoa mtoto wa karibu na mapacha wa 3?
2)ni mwanamageuzi na mpinga ufisadi?
3)Anacheza na Akili za watu?
Hii imekuja baada ya Mabosi wake yaani CDM wakipambana kupinga ufisadi.Yeye anakuwa opposite side.
1)Ameoa mtoto wa karibu na mapacha wa 3?
2)ni mwanamageuzi na mpinga ufisadi?
3)Anacheza na Akili za watu?