Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,169
- 10,785
hivi hawa viongozi wa leo mawazo yao yanatoka wapi?
Kwa Kingunge, Waganga wa kienyeji, wake na vimada wao, mafisadi.......bila kusahau maprofesa waliolisaliti taifa kama Mkandala VC-UDSM.
waberoya