'Who created God' is an Illogical Question!

Ulitaka nifananishe na nini?

Hebu jibu nilichokuuliza katika hiyo post.
Fananisha vitu vinavyofanana.

Post yako imeandikwa katika msingi mbovu, msingi wa kufananisha visivyofanana katika namna isiyo na uwiano.

Sahihisha hilo kwanza kabla ya kutaka ujibiwe.
 
Hayo unayoongea umeyatoa wapi?
Biblia yako imesema Mungu wako hawapendi watu wavuguvugu, inatakiwa ama uamini ama usiamini.

Ukiamini na kuleta maswali swali una imani haba, una uvuguvugu, Mungu wako amesema atawatapika wavuguvugu.

Au unaamini dini ambayo kitabu chake hujakisoma vizuri?
 
Unachotaka mie nikifanye ni sawa na wewe ambae unaamini kuwa jua litatoka kesho halafu ukawa unasubiri hiyo kesho,lakini atokee mtu na kukwambia umthibitishie imani yako ya kutoka kwa jua kesho.
Na ukiweza kufanya hivyo maana yake suala la kutoka kwa jua kesho halitakuwa tena imani.
Je,utaweza kufanya hivyo?

Maana kwako wewe hivyo ndiyo kuthibitisha jambo la imani unavyoelewa,na ndiyo maana sie kila tukitoa uthibitisho huwa unasema hatuwezi kuthibitisha.
Mfano wa jua haiuwezi ukaleta ulinganifu na concept ya mungu kuwepo... kwa vile concept ya jua inakuja baada ya kuliona jua..previous days in which to God it doesn't apply....(mfano huu ungekuwa valid if and only if... haulijui jua kama lipo au la alafu unasema kesho jua litatoka)
 
Kama utakumbuka nimewahi kuleta uzi wa makosa 10 aliyotenda Mungu, kosa la kwanza na kubwa kabisa ni kumuumba Shetani.Kwa nini Mungu alimuumba Shetani ili hali alijua Shetani atakuja kuasi na kumpotosha Binadamu?

Kwa nini Mungu aliumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana?

Kwa nini Mungu asingemwekea Binadamu immunity dhidi ya dhambi na dhidi ya mbinu za Shetani?
Maswali yako hayajibiki kwa mwanadamu yeyote kwa kuwa uwezo wa akili ya mwanadamu ni mdogo sana. Atakachofanya binadamu ni mchezo wa kujifikirisha tu. Ukitaka majibu sahihi yasiyo na shaka mtafute Mungu akujibu. Tafuta Neno lake likuweke huru.
 
Maswali yako hayajibiki kwa mwanadamu yeyote kwa kuwa uwezo wa akili ya mwanadamu ni mdogo sana. Atakachofanya binadamu ni mchezo wa kujifikirisha tu. Ukitaka majibu sahihi yasiyo na shaka mtafute Mungu akujibu. Tafuta Neno lake likuweke huru.
Umenena vyema,ubarikiwe
 
Sio kweli,wako matajiri wakubwa na wasomi wakubwa,wanaamini uwepo wa Mungu.
Ndio maana nasema na naendelea kusema,msioamini Mingu,uewelewa wengi ni mdogo sana.Hata hamfahamu kama idadi ya wanaoaminini Mungu,ni kubwa kuliko msioamini Mungu.
So kama ni wengi hamuoni mmechanganyika...humo. hata wewe haujui kwamba wanaopinga uwepo wa mungu wengi ni wasomi...(ndio maana ukipeleka mtu akasome russia.. akirudi anakuwa sio yule wa mungu maria...)... ina maana haulijui kwamba why mko wengi mnaoamin Mungu?? It is very simple concept ya kuwepo kwa mungu ndio imekuwa documented than inayomkataa... ndio maana mtoto anajifunza kuwepo kwa mungu right from the early age.... hii nyingine haitaji vitabu... ni kujiongeza tu. Ninaposoma mwanzo lazima nijiulize maswali... hivi inavyoandikwa hapo mwanzo mungu aliumba mbingu na nchi... ( yaani mungu kaanza kuumba dunia kabla ya jua ) ...hivi can't u find lies from this chapter??? Ni uongo ulio wazi...
 
Maswali yako hayajibiki kwa mwanadamu yeyote kwa kuwa uwezo wa akili ya mwanadamu ni mdogo sana. Atakachofanya binadamu ni mchezo wa kujifikirisha tu. Ukitaka majibu sahihi yasiyo na shaka mtafute Mungu akujibu. Tafuta Neno lake likuweke huru.
Kama mwanadamu hana uwezo wa kujibu haya maswali, kwa nini watu tuna uwezo wa kuuliza haya maswali?
 
Hivi ukachukuwe katoto kachanga baada ya kuzaliwa tu ukakapeleka sehemu ya mbali kabisa.... hivi kanaweza kuwaza kametokana na nini??? Kanaweza kuwaza kwamba kametokana na muingiliano wa mwanamke na mwanamume ndio akapatikana?? Je busara ya huyu mtoto inapaswa kuwa vipi??? Na je asipoamini ametokana na wazazi wawili... je wazazi hao wamuhukumu??? Hii ndio scenario ninayoiona hapa... Why Mungu anihukumu siku ya mwisho wakati I have been confused?? Hivi kwanin hiyo sehemu ya ubongo hamuishirikishi ipasavyo?? Why hamujiulizi ni kwani muislamu haswaa anaona yeye ndio yupo sehemu sahihi na mkristo haswa anaona yeye ndio yupo mahali sahihi?? Kwanini asiyeamini Mungu nae asichukuliwe nae pia yupo sehemu sahihi.... (hivi kama Mungu amechagua kutoonekana kwanin anataka tuamini uwepo wake??)... Je, viumbe vingine vya duniani vina mtazamo gani na mungu huyo??
 
Soma upate faidahttp://www.oddee.com/item_98822.aspx
So kama ni wengi hamuoni mmechanganyika...humo. hata wewe haujui kwamba wanaopinga uwepo wa mungu wengi ni wasomi...(ndio maana ukipeleka mtu akasome russia.. akirudi anakuwa sio yule wa mungu maria...)... ina maana haulijui kwamba why mko wengi mnaoamin Mungu?? It is very simple concept ya kuwepo kwa mungu ndio imekuwa documented than inayomkataa... ndio maana mtoto anajifunza kuwepo kwa mungu right from the early age.... hii nyingine haitaji vitabu... ni kujiongeza tu. Ninaposoma mwanzo lazima nijiulize maswali... hivi inavyoandikwa hapo mwanzo mungu aliumba mbingu na nchi... ( yaani mungu kaanza kuumba dunia kabla ya jua ) ...hivi can't u find lies from this chapter??? Ni uongo ulio wazi...
 
Habari zenu wana JF. Leo nataka niwaletee ukweli ambao wapinga mungu kama Kiranga huwa hawauelewi. Swali hilo ni hili.

Swali: Je, kama Mungu yupo, nani alimuumba Mungu? (Au ametokea wapi?)

Jibu: Mungu ana sifa ya kutokuwa na mwanzo wala mwisho, hivyo hilo swali halina mantiki. Pia tufanye kuwa Mungu ameumbwa, kwa hiyo logic ni kuwa aliyemuumba naye anatakiwa awe ameumbwa, na kuendelea. Hivyo ni wazi kuwa kutakuwa na miungu infinity kitu ambacho ni Illogical. Hivyo namaliza kwa kusema kuwa, Swali la Who Created God is an illogical question.
Ili tuwe na mjadala wenye tija nashuri kwamba kwanza tuanze na kufaanua maana ya msamiati tunaoutumia. Hivyo naomba kwanza utupe definition ya Mungu na creation kama ulivyovitumia hapa.
 
Fananisha vitu vinavyofanana.

Post yako imeandikwa katika msingi mbovu, msingi wa kufananisha visivyofanana katika namna isiyo na uwiano.

Sahihisha hilo kwanza kabla ya kutaka ujibiwe.
Nimekuuliza nifananishe na nini maana ni wewe ndiye ambaye unasema havifanani.

Nimeuliza swali kwa kutumia mfano wako wa jua,sasa sioni sababu ya kulikwepa.
 
Biblia yako imesema Mungu wako hawapendi watu wavuguvugu, inatakiwa ama uamini ama usiamini.

Ukiamini na kuleta maswali swali una imani haba, una uvuguvugu, Mungu wako amesema atawatapika wavuguvugu.

Au unaamini dini ambayo kitabu chake hujakisoma vizuri?
Kwanza unajuaje kuwa mie kitabu changu ni biblia?

Hata hivyo bado unazunguka zunguka tu.
 
Mfano wa jua haiuwezi ukaleta ulinganifu na concept ya mungu kuwepo... kwa vile concept ya jua inakuja baada ya kuliona jua..previous days in which to God it doesn't apply....(mfano huu ungekuwa valid if and only if... haulijui jua kama lipo au la alafu unasema kesho jua litatoka)
Unajua kwanini nimetumia huo mfano? hebu elezea.
 
Nimekuuliza nifananishe na nini maana ni wewe ndiye ambaye unasema havifanani.

Nimeuliza swali kwa kutumia mfano wako wa jua,sasa sioni sababu ya kulikwepa.
Fananisha vitu vinavyofanana, first thing first, usifananishe kitu chenye contradiction na kitu ambacho hakina contradiction.

Hutakiwi kuniuliza mimi ufananishe na nini wakati wewe ndiye unataka kunipa mfano mimi.

Usitake mimi nikufanyie kazi yako wewe.
 
Kwanza unajuaje kuwa mie kitabu changu ni biblia?

Hata hivyo bado unazunguka zunguka tu.
Kwa hiyo leo unaikana Biblia kwamba si kitabu chako cha dini hapa?

Nishamfanya Muislamu aikane Quran, leo namfanya Mkristo aikane Biblia.

Pole pole mnamkana Mungu wenu.
 
Wasioamini uwepo wa Mungu,huwa ni waongo,ili waonekane hoja zao zina nguvu.Hawesemi ukweli,kutokana na kujuwa wanachosema sio kweli,kwa hiyo hawaoni tabu kusema uongo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom