VoiceOfReason
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,194
- 1,355
- Thread starter
- #61
Mambo mengine tuliyajua kupitia nyimbo tu, bahati mbaya siku hizi hata mchakamchaka hakuna.
Ndio kizazi chetu hicho hatuna tena Identity...... hatujui tulipotoka na tunapoelekea ninachojua ni kwamba hapafai.....