White Man Can Jump .......

Sikonge

JF-Expert Member
Jan 19, 2008
11,550
6,062
Mnasoma sana habari za uchaguzi, hebu kuleni tano bora:

Wengi tunafahamu kuwa Reggae Music ni mziki wa Wajamaica. Ni moja ya miziki ambayo ilivumbuliwa kwenye STUDIO na siyo kwenye majumba ya miziki / dance na baadaye kuletwa Studio. Ulifyatuliwa na ndiyo ukapelekwa kwenye Dancefloor.

Ukiona Mzungu anapiga reggae hasa miaka ya 80 ilikuwa ni kioja. Walikuwepo wachache sana na sanasana waliofahamika ni UB 40. Reggae ilikuwa ni kama alama ya kusema "mimi navuta bangi" na hivyo ikawa ikiogopwa.

Unapokuja kuona Mzungu anapiga Reggae na Mzungu mwenyewe .....................


 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom