The Planner
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 357
- 118
Unajua cha kuchekesha ni kwamba pamoja na chuki ya wazi ambayo u/mnayo kwa Zitto, hamna sababu ya msingi ya kutetea chuki yako/yenu.
Utasikia mara, huyo si mwenzetu tena!, Zitto huyu si yule wa kipindi kile, Msaliti, Anajisikia, na sababu nyingine ambazo ukizichunguza kwa makini utagundua msingi wake ni chuki, majungu, ubaguzi.
Mkumbo heshima sana, ila baada ya muda utawasikia 'mazuzu' flani wakikuita msaliti kwa sababu umemsapoti ZZK 2015.[/QUOTE]
So its all about 2015?