While Zitto is being attacked pls read here

Hivi kwanini jamii inachukulia kama kubadili msimamo ni weakness? Mtu anaweza kubadili msimamo baada ya kupata taarifa zaidi juu ya swala husika, na hilo ni jambo jema na lenye manufaa.

Cha msingi ni mtu aliyebadili msimamo kutoa sababu ya kubadili msimamo na hivyo basi mijadala ielekezwe kwenye uzito au wepesi wa hiyo sababu.

Kuhusu Zitto - anachohubiri Zitto sasa hivi kuwa kinachohitajika zaidi ni transparency sio kitu kipya Tanzania. Labda tukumbushane tu kuwa katika awamu ya tatu serikali ilikuwa na kauli mbiu ya UWAZI NA UKWELI. Zitto alichobadilisha ni lugha tu lakini anazungumzia uwazi na ukweli uleule aliouhubiri Rais Mkapa. Sasa kila mtu apime mwenyewe kama uwazi na ukweli wa awamu ya tatu ulifanikiwa kudhibiti ubadhilifu wa mali ya umma. Kama jibu ni ndio basi Zitto anapigania kitu sahihi, kama jibu ni hapana basi Zitto anaelekea siko (kwa makusudi au kwa kutojua: I dont know!).
 
Rafiki yangu Mkumbo heshima mbeeeele kama tai kwanza kwako na kwa mwenzetu Zitto Zuberi Kabwe. Ila tu nikutahadharishe mkuu; huyu Zitto umuonaye wala si yule wa wakati ule wa harakati za kweli na wala usipoteze muda wako kwani hatuwezi kumpata tena.

Hakika tumempoteza mpiganaji kwa kujichagulia kujiunga na manyang'au wa uchumi wa nchi hii kwenda kuficha Uswisi.

Unajua cha kuchekesha ni kwamba pamoja na chuki ya wazi ambayo u/mnayo kwa Zitto, hamna sababu ya msingi ya kutetea chuki yako/yenu.
Utasikia mara, huyo si mwenzetu tena!, Zitto huyu si yule wa kipindi kile, Msaliti, Anajisikia, na sababu nyingine ambazo ukizichunguza kwa makini utagundua msingi wake ni chuki, majungu, ubaguzi.
Mkumbo heshima sana, ila baada ya muda utawasikia 'mazuzu' flani wakikuita msaliti kwa sababu umemsapoti ZZK 2015.
 
basi mie kiboko yako zaidi
maana hata nilikuwa sijui hata kama kuna ID kama hii wakati weye wajua hata nachopenda.

Sikujua mie 'supastaa' wako

asante kwa kujali sana uwepo wangu.

Kuna member mmoja anaitwa Vivian, ukisoma signecha yake itakusaidia siku za usoni.

mie ndio wa kishua...aka kiboko yenu
 
Zitto si mzito tena. Ameshapoteza credibility kwa umma na kwa CHADEMA. Ameamua kuwa popo!
 
Zitto wa sasa hivi kamwe hawezi akajitwisha jukumu la kuhubiri kitu TRANSPARENCY au kitu kingine chochote jirani kidogo na hilo hata jamii ikamwazima sikio.

If the glittering glories of yesteryears were anything to go-by, there would never be anybody crying of poverty on the face of the earth; Zitto's yesteryear political glories were long taken away by MAPACHA WATATU na hadi hapo mufilis kabisa na wala hakuna kitu pale.

Mbaya zaidi, sasa kule kujiingiza kwake kwenye mambo ya ndani ya CCM na mivutano ya makundi yake; you guess is as good as mine of what next is in store for him for his political future, AT A MOST CRITICAL TIME THAT HE WONT BE ABLE TO CHANGE THINGS FOR ANY BETTER!!!!!!!!

Hakika ni kichekesho kweli kweli kwmba Zitto anaamini anakitumia CCM kufikia malengo yake BINAFSI huko upande huo wa pili nao ukijiaminisha na kuendelea na elelea na sala ya aina ile ile kumtumia yeye kurudisha vijana CCM kisha wakamtose mbele ya safari.


Hivi kwanini jamii inachukulia kama kubadili msimamo ni weakness? Mtu anaweza kubadili msimamo baada ya kupata taarifa zaidi juu ya swala husika, na hilo ni jambo jema na lenye manufaa.

Cha msingi ni mtu aliyebadili msimamo kutoa sababu ya kubadili msimamo na hivyo basi mijadala ielekezwe kwenye uzito au wepesi wa hiyo sababu.

Kuhusu Zitto - anachohubiri Zitto sasa hivi kuwa kinachohitajika zaidi ni transparency sio kitu kipya Tanzania. Labda tukumbushane tu kuwa katika awamu ya tatu serikali ilikuwa na kauli mbiu ya UWAZI NA UKWELI. Zitto alichobadilisha ni lugha tu lakini anazungumzia uwazi na ukweli uleule aliouhubiri Rais Mkapa. Sasa kila mtu apime mwenyewe kama uwazi na ukweli wa awamu ya tatu ulifanikiwa kudhibiti ubadhilifu wa mali ya umma. Kama jibu ni ndio basi Zitto anapigania kitu sahihi, kama jibu ni hapana basi Zitto anaelekea siko (kwa makusudi au kwa kutojua: I dont know!).
 
I dont wanna believe that I am such a lazy reader,the only reason I am going back to try and re-read this thread is the interesting comments I am seeing from others....but honestly, It could have been better arranged!
 
basi mie kiboko yako zaidi
maana hata nilikuwa sijui hata kama kuna ID kama hii wakati weye wajua hata nachopenda.

Sikujua mie 'supastaa' wako

asante kwa kujali sana uwepo wangu.

Kuna member mmoja anaitwa Vivian, ukisoma signecha yake itakusaidia siku za usoni.

acha mipasho 'dogo' hapa tunashusha ishu za maana...porojo zako za uswazi na usupastaa wako wa jukwaa la chitchat hazina nafasi hapa.

eti supastaa wa chichat,aibu!!sasa sisi tunaoikimbiza TZ tusemaje!!
 
Its clear that Kikwete appointed Prof Muhongo because he understands Tanzanians.Most of us once we looked at how learned the chap was,we immediately put on Bias filters.overlooking all the possibilities that he could be wrong in some issues and the most important fact of all-He is just part of a well oiled CCM bureaucratic machine.As much as he has the package to turn things around,he is not the captain of the SHIP,someone else calls the shot and we all know who.If you don't believe that,look at his 2 days turn-around,from the STRONGMAN firing orders of contract termination to a mere mortal assuring the big boys,NOTHING will be done.and he was ready to play along.

Some of us are harder to please,some of us are harder to manipulate,and we employ a wait and see approach.BEING a PROF does not make you special,and in this scenario Prof Muhongo has been hold to such a high special standard which i think is not going to please many,especially when it becomes obvious that after all he is as mortal the rest
 
Tatizo unapoamua kufumba macho ukitembea kwenye njia iliyokua na shimo kubwa mbele yake kinachofata ni kutumbukia. Tujaribu kuona pale tunapoamua kufungua jicho
 
Zito ni kama marekani, hana permanent friend nor permanent enemy ila ana permanent interests na ndo maana aliweza kumsafisha Mhando, mkurugenzi wa tenesco.
 
Naona Zitto anatafuta mbinu ya Julias Marema maana amepoteza supporters wengi kwenye chama chake

Mbona Julius Malema wameshamthibiti! Hati ya kukamatwa kwake ishatolewa jioni hii. Ni kuhusiana na shutuma za rushwa kwa tasisi yake na familia
 
Last edited by a moderator:
Look here mister. hii tabia ya kusema tunawahitaji hawa wawekezaji zaidi kuliko wao wanavyotuhitaji ndio inatufanya kuingia mikataba mibovu; gesi na mafuta yetu yasipochimbwa kwa terms zitakazotunufaisha sisi , hiyo gesi na mafuta kwani yataoza? Gesi na mafuta sio kama nyanya za Ilula!! Lazima tusimame imara kulinda maliasili ya nchi yetu kwa faida yetu na vizazi vijavyo; Acheni akili ya mkweree ya kuuza nchi na wanyama wetu bila kufikiria wajukuu zake watafaidika vipi baada ya yeye kwenda kwa muumba wake!!

Ndinani: You are absolutely right. Umesema kweli kuwa Gesi na mafuta haviozi kama nyanya!! Mbona Baba wa Taifa alizuia uchimbwaji wake na hadi leo vipo? Tatizo la contracts mbovu na utendaji usioridhisha wa serikali si katika sekta ya nishati na madini tu. Nchini inahitaji mapinduzi ya kimfumo. Kudonoa kasekta kamoja tu maendeleo yake yatakwamishwa kutokana na mapungufu yaliyo kwenye sekta nyingine na mfumo mzima. Tatizo la utawala mbovu ndiyo suala kubwa la kuangaliwa katika ujumla wake (holistic approach). Mbona nyanya zinaharibika kwani haziwezi kuhifadhiwa kwa njia mbali mbali kwa mtazamo wa agro-processing? Je "Kilimo Kwanza" mikakati yake ni ipi katika kuanzisha viwanda kwa ajili ya mazao ya kilimo nyanya zikiwepo? Elimu bado watoto wanasomea katika mazingira ya kutisha, mitihani kuvuja, elimu duni na kila sekta ina madudu makubwa!!! You see there are mishaps in every sector. The most serious challenge is to change the ailing system and bring about lasting positive changes in every sector. After all gesi na mafuta ni non-renewable resources zifanyiwe kazi tukiwa tayari.
 
I dont wanna believe that I am such a lazy reader,the only reason I am going back to try and re-read this thread is the interesting comments I am seeing from others....but honestly, It could have been better arranged!

I swear to God I had started doubting my comprehension skills. If you also faced the same problem I can breathe a sigh of relief finally!
 
Watu wanamchukia Zitto bila sababu yoyote ile

Soma kwa makini majibu yapo hapa hapa kwenye hizi discussions. Usifungamane na upande wowote. Hawa watu wanachanana humu wanajuana. Inaonekana mwanzo walikuwa pamoja sasa wametibuana
 
Moja ya matatizo yetu kama nchi na wananchi ni kuchukia watu wanaofikiri tofauti. Tumezoea mazoea; ukiona mtu anaenda tofauti na mazoea tunaanza kumpa majina kibao: kanunuliwa, msaliti, anajipendekeza, hana ushirikiano, n.k.. Lazima tubadilike na kujua kwamba binadamu tu tofauti kimwili, kiakili na kila kitu. Ili tutoke hapa tulipo lazima turuhusu akili zifikirii sawasawa na tena tuhangaike kufikiri kitofautitofauti. Kama tunataka kila mtu afikiri kama sisi ni kuendeleza utamaduni wa kutumia akili za kuazima. Zitto ni miongoni mwa watu wachache hapa nchi aliyeamua kujipambanua na kuamua kufikiri kitofautitofauti. "Kosa" lake ni kwamba ameamua kuacha kufanya mambo kwa mazoea na ameamua kuhangaika kufikiri kitofautitofauti. Zitto analaaniwa kwa kudiriki kwake kuhangaika kufikiri na kuachana na mazoea. Atabambikizwa majina yote ya ovyo kama usaliti, kujipendekeza, n.k. Tunamtia moyo aendelee kuhangaika kufikiri, wapo watakaomuelewa.
but the key points, in doing something is the end result of that activities or mission.
now as a country we are having the so called dubious mining , gas exploration etc etc contracts. and we want to move away from this. A lot of action have or are to be taken to address this anomaly, one is to review the contracts, but zzke says no, we should put the said contract in the public domain, second will it change the said contracts to be good?, alternatively is to review them, while we are awaiting to change the law to allow the said contracts to be made available to the public, and Prof has gone even further by suggesting that the revenue from this gas contracts should not go to the treasury pool so that wananchi could see the end results of the monies accrued from this projects. Although Prof suggestion etc could have some grey areas, the key thing for me or majority of sisi bana nchi ni kuona kwamba je njia zote mbili ya zzk na ya prof italeta matunda tunayo tarajia katika muda mfupi? na kutuhakikishia kwamba huko mbeleni hatutarudi kwenye mikata mibovu.
sasa wewe angalau ni dr kwa hiyo uwezo wako wa kunielewesha uzuri wa njia hii dhidi ya njia ile ni upi, ili tusi muhukumu mtu kwa tendo jema
 
Inasikitisha sana kuona jinsi watu wanavyoacha kujadili hoja na kumjadili mtu! Hizi chuki zitatufikisha wapi Watanzania. Mchangiaji aliyesema tuna ugonjwa wa kumchukia mtu anayefikiria tofauti has said it all.

Watu wako tayari kumpa mtu anayefikiria tofauti na walivyozoea majina mabaya,bila kujali maslahi anayotetea kwa wakati husika.

Zitto alieleza waziwazi kutokubaliana na approach ya Prof. Muhongo kuhusu review anayofanya. Anachosisitiza ni uwazi katika mikataba hii ili Watanzania wengi waweze kuiona na kutoa michango yao,na hatimaye tuweze kuwa mikataba yenye kuwanufaisha Watanzania. Anaenda mbali zaidi kuwa review kufanyika na bodi yenye watu walewale, waliofanya review zilezile ambazo zilifanywa huko nyuma na kutupa mikataba ileile mibovu inayotuumiza, hii approach haina tija kwa sasa!

Kwa
nini hamtaki kuamini kuwa kuna watanzania wengine wenye uwezo na elimu kupitia mikataba hii, mnatulazimisha kuwaamini watu wachache ambao walishatuingiza kwenye mikataba mibovu.! Lakini viwavi wa chama badala ya kujadili hili, wanahangaika kumtazama mleta hoja, sijui hajashiriki M4C, mara hayupo ofisini..do you think hayo ndio muhimu kuliko Tanzania yetu?

Mnahoji uwepo wake kwenye tume ile ya Bomani iliyofanya review,mlitaka Zitto abadilishe dunia ili msimamo wa serikali ubadilike! Na hili ameshalitolea ufafanuzi kuwa recomendations zote zilizotolewa na tume ya Bomani hakuna nhata moja iliyofanyiwa kazi, bado mnang'ang'ana review..review..give the guy a break! Huu unafiki na siasa majitaka ndio unaoturudisha nyuma kila siku watanzania.

Mawazo haya haya anayotoa Zitto yangetolewa na "rafiki yenu" mngesoma vizuri kila nukta na kukubali anachosema, lakini limeletwa na "adui",hata hoja na maoni yake sio muhimu, aibu gani hii. Huyu ni mtu potential sana kwenye sekta ya madini, mafuta na gesi,badala ya kumpa moyo na kupongeza kazi anayofanya, mnakuja na itikadi zenu chafu zisizotufaa kwa wakati huu. By the time mnamaliza siasa majitaka,mikataba imeshasainiwa, na rasilimali zinaondoka.

Tuko tayari kukosa kuliko kuwa upande wa mtu anayetetea maslahi ya watanzaniua kwa kuwa hatumpendi. Unfortunately wale mnaowapenda hawana weledi,utaalam wala elimu katika sekta hii zaidi ya siasa pendwa za kujitafutia umaarufu majukwaani. Zitto ni msomi aliyebobea katika "Uchumi wa madini mafuta na gesi". Na ndio facts anazotoa zinapimika,hakuna siasa hapa kwa sisi tunaoelewa.

Mwenye hoja au maoni mbadala juu ya haya anayopigania Zitto na atoe badala ya kuja na itikadi za kichama,hoja za kumjadili mleta hoja badala ya kujadili hoja.!
 
Kitila Mkumbo

Hawezi kuwa tofauti kwa wakati wote na mara zote. Yaani unataka kusema kati ya wooote mawazo yake ni sahihi kila wakati? He must have a problem. He is young, intelligent and energetic;lakini ni vizuri kuwa na some degree ya kukubaliana na wengine.
 
Last edited by a moderator:
but the key points, in doing something is the end result of that activities or mission.
now as a country we are having the so called dubious mining , gas exploration etc etc contracts. and we want to move away from this. A lot of action have or are to be taken to address this anomaly, one is to review the contracts, but zzke says no, we should put the said contract in the public domain, second will it change the said contracts to be good?, alternatively is to review them, while we are awaiting to change the law to allow the said contracts to be made available to the public, and Prof has gone even further by suggesting that the revenue from this gas contracts should not go to the treasury pool so that wananchi could see the end results of the monies accrued from this projects.
He even said in his BBC interview that he has very good plans but people in high places wouldn't let him implement them
 
Moja ya matatizo yetu kama nchi na wananchi ni kuchukia watu wanaofikiri tofauti. Tumezoea mazoea; ukiona mtu anaenda tofauti na mazoea tunaanza kumpa majina kibao: kanunuliwa, msaliti, anajipendekeza, hana ushirikiano, n.k.. Lazima tubadilike na kujua kwamba binadamu tu tofauti kimwili, kiakili na kila kitu. Ili tutoke hapa tulipo lazima turuhusu akili zifikirii sawasawa na tena tuhangaike kufikiri kitofautitofauti. Kama tunataka kila mtu afikiri kama sisi ni kuendeleza utamaduni wa kutumia akili za kuazima. Zitto ni miongoni mwa watu wachache hapa nchi aliyeamua kujipambanua na kuamua kufikiri kitofautitofauti. "Kosa" lake ni kwamba ameamua kuacha kufanya mambo kwa mazoea na ameamua kuhangaika kufikiri kitofautitofauti. Zitto analaaniwa kwa kudiriki kwake kuhangaika kufikiri na kuachana na mazoea. Atabambikizwa majina yote ya ovyo kama usaliti, kujipendekeza, n.k. Tunamtia moyo aendelee kuhangaika kufikiri, wapo watakaomuelewa.

Mkuu naona umeamua kuingia kambi ya Zito
 
Back
Top Bottom