sasa kama hujatumia nyingine utasemaje iOS "is the best"? Silly.Kwa mtizamo wangu iOS is the best, ingawa sijapata bahati ya kutumia android os.
Yani Android Os sijaona zaidi labda tusibiri Blackberry os10. NA boot2gecko but android noma many apps, freedom to customize,really fast, affordable, open source
Mimi nilikuwa mtumiaji mkubwa sana wa iPhone ambayo inatumia iOS, hivi karibuni tulibishana sana na rafiki yangu yeye alikuwa anatumia Android OS (Ice-cream sandwitch version) kwenye Samsung Galaxy S II, mwisho tuliishia kubadilishana simu ili kila mmoja atest ya mwenzake.
Kwakweli nimehama toka iPhone, saiv natumia Android OS kwenye Google Nexus S, na nina uhakika hamna OS inayoishinda Android kwa sasa. Symbian ilikuwa zamani enzi zile Nokia ipo juu ya simu zote, Blackberry OS is okay (but I dont think its the top on the line), Windows Mobile - Hapa kwa kweli niseme tu mimi sio mpenzi wa Windows, na nikisikia Windows tu akili yangu inaniambia iko dhaifu kwa virus na hii ni kutokana na experience niliyoipata na Window based OSs kwenye computer mpaka nkahamia Linux na Mac Os.
Ngoja tusubiri na wengine watoe maoni yao juu ya hili.
Umewahi kutumia iOS...na apps zake???
Kwa mtizamo wangu iOS is the best, ingawa sijapata bahati ya kutumia android os.
Mimi nilikuwa mtumiaji mkubwa sana wa iPhone ambayo inatumia iOS, hivi karibuni tulibishana sana na rafiki yangu yeye alikuwa anatumia Android OS (Ice-cream sandwitch version) kwenye Samsung Galaxy S II, mwisho tuliishia kubadilishana simu ili kila mmoja atest ya mwenzake.
Kwakweli nimehama toka iPhone, saiv natumia Android OS kwenye Google Nexus S, na nina uhakika hamna OS inayoishinda Android kwa sasa. Symbian ilikuwa zamani enzi zile Nokia ipo juu ya simu zote, Blackberry OS is okay (but I dont think its the top on the line), Windows Mobile - Hapa kwa kweli niseme tu mimi sio mpenzi wa Windows, na nikisikia Windows tu akili yangu inaniambia iko dhaifu kwa virus na hii ni kutokana na experience niliyoipata na Window based OSs kwenye computer mpaka nkahamia Linux na Mac Os.
Ngoja tusubiri na wengine watoe maoni yao juu ya hili.