Kivumah
JF-Expert Member
- Jan 7, 2008
- 2,428
- 1,050
...ha hha hhhaa. Nouuuma kakaUkiweka wanawake wa kijaluo, kuluiya na kikuyu si tutakimbia hii thread manake wanatisha kwa sura Kibaki anawafunika...
...ha hha hhhaa. Nouuuma kakaUkiweka wanawake wa kijaluo, kuluiya na kikuyu si tutakimbia hii thread manake wanatisha kwa sura Kibaki anawafunika...
"beauty is in the eyes of the beholder." - wahenga
Tazama totozi ya kibongo, yaani kaweka na mikorombezo yote na ndo mshindi tena jijini
wow!somali19%.am proudEti ni kweli majibu haya? WHICH COUNTRY IN AFRICA HAS THE MOST BEAUTIFUL WOMEN?[+] ballot by LCDcreated Fri Nov 10, 06Ethiopia 25%somalia 19%South Africa 14%Nigeria 6%Kenya 5%Rwanda 3%morocco 3%Ghana 2%Cape Verde 2%senegal 2%egypt 2%Western Uganda! and Rwanda 1%cameroon 1%zimbabwe <1%congo <1%Botswana <1%algeria <1%liberia <1%Swaziland <1%Sudan <1%Sierra Leone <1%guinea <1%Badonkadonk <1%tunisia <1%zambia <1%angola <1%namibia <1%malawi <1%Lesotho <1%the country of zambia <1%burkina faso <1%
Tazama totozi ya kibongo, yaani kaweka na mikorombezo yote na ndo mshindi tena jijini
Wametumia vigezo gani ku determine hili? Ukiniuliza mie namba one ni wa sauzi, wa pili ni waSom, watatu Rwanda then ethiopians kisha hao wengine na warundika pamoja.. coz kama mtaamua tweke picha hapa za totoz wa kikenya tumake comparison na wabongo, mie nitaweka picha nyingi sana, just to dimistify the thought that our women are not fiiine
Tazama totozi ya kibongo, yaani kaweka na mikorombezo yote na ndo mshindi tena jijini
HA! Cynthia Kimasha?! when was this? amekuwa miss nini!??
Duh...this is good to see..alikuwa jirani yangu kipindi fulani kule Chuo cha Ushirika, sasa MUCCoBS....wow!
muda unaenda!!!
Kama huna "nigger" mentality kuwa uzuri ni kuwa 'light skinned' utakuwa sawa. Kama unaangalia archuitecture zaidi Tz tunao warembo wengi ingawa wenyewe hawajitambui. Waethiopia na Wasomali wengi wamekeketwa. Hakuna milango wala pazia. Utaishia kuangalia sura tu na kuumia.Waethiopia na wasomali then wanafuatiwa na Rwanda kisha waswana kwa mbali Tz hatuwezi kukosekana kuna makosa ya uangaliaji hata hivyo uzuri unatambuliwa na anayeungalia.
asee nilikuwa nimevmba kwa hasira ila sasa nimepoa nimicheka saaana mpaka baaaas...ha hha hhhaa. Nouuuma kaka