Binti Maringo
JF-Expert Member
- Jul 4, 2007
- 2,804
- 88
- Thread starter
- #101
Oyaa dogo...naona umezinduka eeh....jana ulikunywa nini? Kangala...?..chibuku...? Komoni?...kimpumu?...au your all time favorite..gongo? lol..
Haya dogo ushindwe wewe tu sasa maana mi mwenzio nahisi nimeanza kupigwa chini kidogo kidogo maana haiwezekani eti Cupcake wangu ai-miss njemba ingine....kwa hiyo usilaze damu...changamkia totoz hiyo...
Ni kwamba you are selling me out kwa crack head YNIM?....ooh i see ok!.