Katavi....usiwe unakaa sana bila kutembelea hapa Galilaya.......
Nenda hapa.....https://www.jamiiforums.com/complai...aomba-msaada-russianroulette.html#post2818055
Dah!! Kumbe.....ndio maana. Lakini jamaa anajua kweli kuchangamsha jukwaa.
Ni muda mrefu jukwaa limekuwa na utulivu wa hali ya juu, katika kujiuliza kwa nini naona kuna sura hazimo humu ndani pamoja na ya huyu mheshimiwa Mwita25. Hivi yupo wapi au jela? Au kabadili id?