Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,350
Mkuu angalia kifaa ambacho kinakujali na wewe unakipenda unaweza ukampenda huyo mwenye mtoto kumbe yeye hakupendi jaribu kuwa makini.
"
"ananipenda mpaka mwenyewe nachukia"
Mkuu angalia kifaa ambacho kinakujali na wewe unakipenda unaweza ukampenda huyo mwenye mtoto kumbe yeye hakupendi jaribu kuwa makini.
..gf wangu wa Tambaza alikuja home na akaniambia nimuonyeshe mtoto nami bila kusita nikamuonyesha... ilikuwa ni mwezi wa sita hivi. but demu huyu wa Tambaza aliamua kusitisha uhusiano
After some years while nilipoenda india kuchukua degree yangu hatukuwa tuna wasiliana for almost 2 years but the last year mwishoni tuliweza kuestablish communication ....
akaniambia amewahi kuwa nazo mbili lakini hawakumridhisha kama nilivyofanya mimi....na kwa mtindo anataka kurudi tuanze upya uhusiano.......
Huyu demu ambaye nimezaa naye namkubali kwani ananipenda mpaka mimi mwenyewe nachukia kwanini ananipenda namna hiyo....kwa hakika hakuwahi kunisaliti nilivyokuwa masomoni........
ubaya wake upi?
JAMANI NASHUKURU SANA KWA USHAURI WENU NDUGU......NIMEFARIJIKA SANA NA NIMEAMUA KUIONDOA HII MAPEMA AS KUWEKA KILA USHAURI UWE KWANGU TU NA KUTOKUACHA ANY TRACES..............
Thank all guys and ladies
No wonder ulifungiwa.........aaah ubaya wake nini?
Dini inaturuhusu hata wa4 sembuse wa2? acha kabisa.....nyie ndio mnaomsakama ofisa Kitila mkumbo kwa kummega HG wake....
..ushauri bwana shao angalia shori mkali kwako kwa kila kitu ndio ukae nae....kwa nionavyo mzazo mwenzio anakufaa zaidi
point yake ni kwamba unabwabwaja bila ya kufikiriapamoja na bold yako sijakuelewa.....point yako ni ipi?
Jamani nimeamua kubadili content hapo juu.....nashukuruni wooote kwa ushauri wenu....ila napenda ni waambie kuwa ushauri wenu umenipa nguvu mpya ya kufanya maamuzi ambapo nimeamua KUMUOA KABISA HUYU NILIYE ZAA NAYE mategemeo yangu ni kufanikisha taratibu zote za ndoa kabla ya kufikia mwisho wa mwaka 2010.
Nashukuruni sana ndugu zangu.
Jamani nimeamua kubadili content hapo juu.....nashukuruni wooote kwa ushauri wenu....ila napenda ni waambie kuwa ushauri wenu umenipa nguvu mpya ya kufanya maamuzi ambapo nimeamua KUMUOA KABISA HUYU NILIYE ZAA NAYE mategemeo yangu ni kufanikisha taratibu zote za ndoa kabla ya kufikia mwisho wa mwaka 2010.
Nashukuruni sana ndugu zangu.
off topicNo wonder ulifungiwa.........
yamekuwa hayo tena bibie......ndio maana mnamegwa na kuachwa......point yake ni kwamba unabwabwaja bila ya kufikiria
aisee ur not serious kijana......yaani wana JF na hizi post zao umeshaamua mkuu? unaishi nae huyo mkeo maisha angalia mind yako inasemaje sio ufate kila kitu wana Jf wanachokuambia.....utajajuta kuingia humo......Jamani nimeamua kubadili content hapo juu.....nashukuruni wooote kwa ushauri wenu....ila napenda ni waambie kuwa ushauri wenu umenipa nguvu mpya ya kufanya maamuzi ambapo nimeamua KUMUOA KABISA HUYU NILIYE ZAA NAYE mategemeo yangu ni kufanikisha taratibu zote za ndoa kabla ya kufikia mwisho wa mwaka 2010.
Nashukuruni sana ndugu zangu.
ubaya upi? mbona unazungusha point tuuuuu........Kuna ubaya tena sana , lakini kwa kujitakia kama kwa huyu bwana,
atakapotoka hapo amuoe huyu mwingine azae tena ni vibaya maana amejitakia kitu ambacho ana uwezo wa kukizuia.
ni PM.......Mbona unauliza sana na wewe umefany hivyo nini?