Where are the Tanzanian Navy and Tanzania Marine Police Forces?

Mimi nimeanza kuangalia uwezekano wa kuaccelerate their exit. 2015 is becoming too far nowdays.
Mimi nilikuwa (na bado ninao) utabiri kama huo tangu pale JK alipoingia madarakani kwa mara ya pili. Nabaki na matumaini kuwa utabiri huo utatimia kwani hata wao kwa wao wameanza kuchokana, achia mbali Watanzania ambao wamekuwa wakifanya mazoba katika kona, na sasa wameamka vya kutosha kiasi kwamba ile nyimbo yao ya kulazia mtoto - Tanzania Kisiwa cha Amani - hakuna anayezisikiliza tena.
 
We have got many Leaders with PHD's but now we know that PHD stands for Pulling Heads Down.
Majitu myanafikiria namna gani yataiba na siyo kuboresha.
 
Huwa nawaona kwenye alaiki tu (paredi), kwenye majanga kama haya huwa siwasikii kabisaaaa.
 
Inachosha kusikia kila wakati Taifa linapokumbwa na majanga kama haya na tume uundwa na kutoa mapendekezo lakini tena na tena tunajikuta palepale na ebu tuanze kutazama hatua zilizochukuliwa toke Spice Islander tragedy na sio hiyo turudi nyuma kwenye mother of all tragedies MV Bukoba? Tutaona makosa yalitokea then yanajirua hata sasa.......Ubovu/uchakavu wa meli, kujaza abiria kupitiliza, mamlaka bandarini kutowajibika ipasavyo hayo yote ni vitu visivyobadilika na tuko hapa tunajadili kitu ambacho kimejitokeza tena hata haijapita zaidi ya mwaka..........................

Elizabeth- unazungumzia 'rocket science' wewe! MV Bukoba nobody could tell how many people were on the ferry. Same case for Spice Islander. And now same thing - we do not know how many people boarded the ship! So if, from MV Bukoba to now we still do not have mechanisms to record the number of passengers who board vessels everyday how the hell do we organize rescue operation? Really? We are that bad. Sorry.
 
Mwanakijiji kweli hayo maswali ni mazuri sana. Mm kwamtazamo wangu Tanzania tunaitaji kubadili kila sekta kwani mifumo hiliyopo ni mibovu sana. Nazani sisi Tanzania kwasasa tungekuwa mbali sana kulinganisha na nchi nyingi za Afrika hata za Ulaya pia tungezishinda. Tatizo ubinafsi na uongozi mbovu ndounatusababishia matatizo yote haya.

Jeshi (polisi, magereza, JWTZ, JKT) lingepewa kipaumbele na kuwa na wataalamu wakutosha tusingekuwa na matatizo kama barabara, treni, chakula, hospitali, shule n.k.
Bado napingana na msemo kwamba Tanzania ni nchi changa na maskini. Maskini kwa vp? Tuna lasilimali watu, madini, mbuga za wanyama, mito, bado tumekaa kulumbana kusiko na tija. Mabadiliko inabidi yatokee hili Tanzania tuweze kuishi kama binadamu wengine duniani. Duniani atujaja kupata shida bali ni sehemu ya kuishi na kupita. Nasema kama kila mtu hakitambua kwamba siku moja atakufa basi matatizo ya Tanzania yataisha na kuwa historia.

Jana mzee Mandela katimiza miaka 94, bado dunia na hasa nchi yake wamemuenzi kwa kutumia dk67 kutoa huduma ktk jamii. Leo hii Tanzania watoto washule za msingi wakiulizwa kuhusu historia ya nchi yetu kama baba wa taifa (Mwl. Nyerere), waziri mkuu Sokoine na wengine hakuna wanaeweza kumwelezea kwamba niwakina nani na wanaumuhimu gani. Yani Tanzania tutaketusitake kila sekta inaitaji mabadiliko makubwa sana na haraka hiwezekanavyo.

Nawakalisha.
 
Elizabeth- unazungumzia 'rocket science' wewe! MV Bukoba nobody could tell how many people were on the ferry. Same case for Spice Islander. And now same thing - we do not know how many people boarded the ship! So if, from MV Bukoba to now we still do not have mechanisms to record the number of passengers who board vessels everyday how the hell do we organize rescue operation? Really? We are that bad. Sorry.

Na hapo tunachokitengo mahususi cha statistics pale chuo kikuu cha Dar es Salaam Mlimani, na kuna kuna chuo specialised for statistics kiko Changanyikeni, UDOM wameanzisha kitengo maalumu cha statistics kama kilichopo Mlimani, program zote za MBA zina course ya statistics, program zote za maswala ya biashara kuanzia ngazi ya Diploma wanafunzi ni lazima wasome course ya statistics, Chuo cha Usafirishaji course zake nyingi ni statistical oriented, tunayo Tanzania bureau of statistics ooooooooooooooooooooooooooooooooooooohh!! my God.
 
Back
Top Bottom