kwanzia umri wa miaka 40
and late me guess we unaumri wa miaka kati ya 21 na 26???
nahisi atakuwa kwenye research
hashc kwanza hongera kwa kufikisha more than 1000 posters...
Kingine unaweza kuniambia kidogo hawa wamama wanautamu gani???
Maana nimeona thread kazaa wanatafutwa....
Is this a fashion au ndo nini tena mtu wangu???
thanks for noticing.....sio fashen vijana hatutaki responsibilities....hasa sie wa kibongo kulipa bills kwetu tatizo!
Haswaaa hili ndiyo jibu .Njoni kwangu, ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha. Jitieni nira yangu, mjifunze kwangu; kwa kuwa mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo; nanyi mtapata raha nafsini mwenu; kwa maana nira yangu ni laini, na mzigo wangu ni mwepesi. Math 11: 28-30
ur welcome..
Kwa hiyo vijana wadogo wadogo wanawatafuta wa mama walioshiba na pesa zao...
Kwa kweli kunahatari.....
I am allergic to Serengeti girls, bora nifichwe ndani kuliko kudanganywa....nyinyi mnaotaka ma binti wadogo wengi wenu mmedanganywa, binti anakwambia ni Virgin aka Bikira lakini unakuta ana shimo kama njia ya kwingilia mgodi wa Underground...njia ambayo dump trucks, excavators,scoops and telehandlers hupita...kwanini udanganyike? Tafuta mama ambaye hawezi kukwambia ni bikira..
Mimi ni mmoja wa wale walichoshwa na kukerwa na mabinti wadogo, wengi hawajatulia ni mapepe and they are after money and expensive jewelery. Nahitaji mwanamke mtu mzima, nitampa kipaumbele alieachika au aliye na mme lakini hana raha ya mapenzi. Only serious mamas are welcome, no games or dramas...
PM me...
Nashangaa sana, sijui nifanyeje najaribu kuweka hata umri wa mtu ninaemtaka lakini utakuta wanafunzi kibao..I am pissed off..
I am allergic to Serengeti girls, bora nifichwe ndani kuliko kudanganywa....nyinyi mnaotaka ma binti wadogo wengi wenu mmedanganywa, binti anakwambia ni Virgin aka Bikira lakini unakuta ana shimo kama njia ya kwingilia mgodi wa Underground...njia ambayo dump trucks, excavators,scoops and telehandlers hupita...kwanini udanganyike? Tafuta mama ambaye hawezi kukwambia ni bikira..