'Whenever frustrated I'ma hijack Delta'

My words is 20/20, my vocals are crystal clear
911 style sits on your mind like chromek


911 gani alikuwa anaiongelea? Just something to think about, nothing serious.

To be continued.....

Anazungumzia Porsche 911.
 
Mkuu hiyo background walikopi Oval Office wakati huo Jay Z alikuwa president wa Def Jam akawa anajiita President Carter, unakumbuka cover ya XXL Mag iliyokuwa na Jay Z, Kanye West, Foxy Brown na Lebron James?
sq-jay-z-rocafella-xxl.jpg

Yeah nilikuwa nakumbuka kwamba Jay-Z alikuwa President wa Def Jam wakati huo, kwa hiyo I guess kila kitu kina make sense kwa sababu hiyo, right?
 
Yeah nilikuwa nakumbuka kwamba Jay-Z alikuwa President wa Def Jam wakati huo, kwa hiyo I guess kila kitu kina make sense kwa sababu hiyo, right?

Ukiangalia picha ya Oval Office hapa chini utaona jamaa waliiga kila kitu kasoro bendera ya Rais (upande wa kulia)
oval_office.gif


Jay-Z_Nas_Kanye.jpg



Jay-Z_Nas2.jpg


Jay-Z_Nas1.jpg
 
Ukiangalia picha ya Oval Office hapa chini utaona jamaa waliiga kila kitu kasoro bendera ya Rais (upande wa kulia)

It's funny kwa sababu hicho ndiyo kilikuwa nataka kuangalia katika ile post kwamba concert ilikuwa na political theme/american president, lakini sikuishia hapo, nikaenda kuangalia track ya 'dead presidents'. Sijui unafikiri nini kuhusu ile track, wengi wanaichukulia Jay-Z anaongelea tu drug stories.....nadhani tunaelekea kukubaliana.
 
Back
Top Bottom