ndenga
JF-Expert Member
- Dec 20, 2010
- 1,788
- 1,302
Kama unampenda utamlinda..Kumlinda kwake ni kujitahidi kujiweka mbali naye na usiruhusu hisia zenu za kingono.. Aise jitahidi sana kuwa na hekima na busara zote kwenye hili. Imagine angekuwa mke wako mtarajiwa watuwanajilia tu tena mpaka siku ya harusi...watu wengine hamna huruma kabisa.