BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,007
Jf kiboko 24/7 kuna wadau hope leo pia mtakesha online
MR namkumbuka jamaa mmoja (alikuwa mwanachama mpya wakati huo) nadhani mwanzoni mwa 2010. Baada ya jitihada zake (nadhani) za kulikuta jamvi limelala (maana kila akiingia alikuta jamvi linadunda tu) akaamua kuuliza hivi watu hapa jamvini wanalala saa ngapi maana kila akiingia kwa mategemeo ya kutokukuta mtu alikuta watu bwelele hahahahahahaaa wakamjibu jamii ni 24/7 ukiondoa zile siku za kwikwi za hapa na pale. Nadhani leo pia itakuwa 24/7 kama kawa. Ila usijaribu kuingia huku ukiwa mbwii unaweza kufanya madudu na kuwaachia watu kicheko kikubwa sana kwa miaka mingi ijayo.