VoiceOfReason
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,194
- 1,355
Mine is.....
Last edited by a moderator:
Puzzle of my heart - west life
Sasa mchungaji mbona hunirushii dedikesheni?
PM kuna giza hata sioni!Check PM
PM kuna giza hata sioni!
Hahahahahahahahah LOL! labda huko kwenye PM kuna mgao wa TANESCO LOL!
Asali wa moyo-Inspector...Mapenzi ni ya wawili-Maunda Zorro!...Nataka uwe wangu-Prezzo!
Hahahaha sijaktipia luku BAK!
Hebu nitumie hizo kuna mwanakondoo nataka muimbisha
Kwahiyo wala nisihangaike?Nikiitwa huko itakuaje sasa na giza limetanda?Ok Lizzy LOL! Huko kwenye PM hakuna haraka ya kulipia luku.
Kwahiyo wala nisihangaike?Nikiitwa huko itakuaje sasa na giza limetanda?
Hahaha mi naona anaeniita huko ndo alipie coz hata nikija ulizwa nlichokua nafuata huko sitajua!Ngoja nibaki sebleni mie...ili hata nikihitaji msaada uweze kunisaidia!Ukiitwa huko basi huna ujanja itabidi tu ulipie LUKU vinginevyo unaweza kuvunja mguu au mkono kuingia kukiwa na giza LOL!
Hahaha mi naona anaeniita huko ndo alipie coz hata nikija ulizwa nlichokua nafuata huko sitajua!Ngoja nibaki sebleni mie...ili hata nikihitaji msaada uweze kunisaidia!
Hahahaha!Kisa cha kufikiria huko kote nini?Naanza kupoteza kaimani kangu sasa!Lizzy naona hunitakii mema mwenzio ndiyo yatakuwa yale yale LOL!